Wadau,
Naomba kuuliza wenye ujuzi na mambo ya umeme.
Kitu Megawatt, umeme huo unakuwa na ukubwa(wingi)kiasi gani, kutumika kwake ni kama muda gani! maana naonaga mfano wakiongelea Megawatt 5, wanasifia kama ni jambo la ajabu sana.
Naomba kueleweshwa tafadhali
Naomba kuuliza wenye ujuzi na mambo ya umeme.
Kitu Megawatt, umeme huo unakuwa na ukubwa(wingi)kiasi gani, kutumika kwake ni kama muda gani! maana naonaga mfano wakiongelea Megawatt 5, wanasifia kama ni jambo la ajabu sana.
Naomba kueleweshwa tafadhali