TANZANNIA
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 1,047
- 385
Habari wana jf wa majukwaa yote
naomba kujua, mtu kabla hajapima dna anaweza kutumia kipimo cha damu yaani 'blood group' kujua kama mtoto ni wake?
mf:baba ana group 'a' na mama ana group 'b' je mtoto anaweza kuzaliwa na akiwa na group 'o'?
waliobobea kwenye mambo hayo mtusaidie.
naomba kujua, mtu kabla hajapima dna anaweza kutumia kipimo cha damu yaani 'blood group' kujua kama mtoto ni wake?
mf:baba ana group 'a' na mama ana group 'b' je mtoto anaweza kuzaliwa na akiwa na group 'o'?
waliobobea kwenye mambo hayo mtusaidie.