SWALI LA LEO LA KIPIMA UPEPO LINAULIZA HIVI:-<br />
Unakipa nafasi chama kipi cha siasa kuibuka na ushindi katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Igunga unaotarajiwa kufanyika tarehe 02 mwezi ujao?<br />
A) CCM!<br />
B) CHADEMA!<br />
C) CUF!<br />
Piga kura kwa kuandika herufi ya jibu unalodhani ni sahihi sehemu ya kuandika comment! Kumbuka unaruhusiwa kupiga kura moja tu