Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,786
- 1,710
Issa William Nyanda
Inasikitisha na inahudhunisha mwenendo wa bunge.
Wabunge wamwogope Mungu wataepuka tabia zinazokera. Wamesahau majukumu yao, kutunga sheria, Kusimamia sheria na kukosoa serikali pale imekosea.
Wabunge waruhusiwe kukosoa pale penye ukweli, lakini kupongeza pale mazuri yaliyopo.