Kipima joto ITV leo kiini macho

Kipima joto ITV leo kiini macho

manning

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2013
Posts
5,092
Reaction score
11,947
Leo nimecheka sana matokeo ya kipima joto kilichokuwa kinauliza " miaka 51 ya mapinduzi ya Zanzibar je malengo yake yametekelezwa? mimi nilishiriki kipima joto hicho na niliandika HAPANA. Lakini matokeo ya leo yanetia shaka kwa kuonyesha hakuna mtu hata mmoja alisema Hapana na 75% wamesema hawajui na 25% kusema ndiyo, wakati waliochangia kwa mitandao wote wamesema HAPANA. Je leo ITV haijatumika kweli kwa minajili ya kisiasa?
 
Kama ni kweli,sasa inabidi ni-connet dots kati ya hii habari na maoni ya leo ya mhariri wa gazeti la Nipashe.
 
Leo nimecheka sana matokeo ya kipima joto kilichokuwa kinauliza " miaka 51 ya mapinduzi ya Zanzibar je malengo yake yametekelezwa? mimi nilishiriki kipima joto hicho na niliandika HAPANA. Lakini matokeo ya leo yanetia shaka kwa kuonyesha hakuna mtu hata mmoja alisema Hapana na 75% wamesema hawajui na 25% kusema ndiyo, wakati waliochangia kwa mitandao wote wamesema HAPANA. Je leo ITV haijatumika kweli kwa minajili ya kisiasa?

Inawezekan kura yako ya hapana ikawa ni 0.0000001
 
Ukifanya math hiyo ni kama nothng.

Naomba nikupinge mkuu, kimahesabu lazima ingekuwa 000.1 acording to the amount of participants na sio 00 kama ilivyoandikwa. Na je hao wote waliowasoma kupitia mitandao na wote wamesema hapana, je kwa nini waiweke amount hapo?!!
 
Hiki kipimajoto kinamiujiza kweli ya kupindisha matokeo!!! Kaazi kwelikweli.
 
Naomba nikupinge mkuu, kimahesabu lazima ingekuwa 000.1 acording to the amount of participants na sio 00 kama ilivyoandikwa. Na je hao wote waliowasoma kupitia mitandao na wote wamesema hapana, je kwa nini waiweke amount hapo?!!

Sijangalia kipima joto nikajua idadi ya kula zote, mkuu point yangu ni kwenye scale ya matokeo inawezekana kula za hapana zikawa ndogo sana hata makadilio ni sawa na hakuna.
 
Sijangalia kipima joto nikajua idadi ya kula zote, mkuu point yangu ni kwenye scale ya matokeo inawezekana kula za hapana zikawa ndogo sana hata makadilio ni sawa na hakuna.

Angalia kwenye nipashe ya leo kama hawajaacha kuweka utaona maajabu.
 
Back
Top Bottom