Hivi wewe unatumiaga Nini?? Kila nikiona moment yako lazima nicheke...🤣🤣🤣🤣Mpende mkeo.....
Mpende mkeo.....
Bei sawa na buree....
(Alisikika machinga mmoja akipigia debe kufuli za mtumba).
Hivi wewe unatumiaga Nini?? Kila nikiona moment yako lazima nicheke...🤣🤣🤣🤣
Bado unapewa mahaba kiwango Cha Kijazi flyoverDon’t worry
Be happy
‘Coz am happy, happy, happy.
Kaoa wakina ASHAWanawake wa buza
I wish kuneet na mutu huyuDon’t worry
Be happy
‘Coz am happy, happy, happy.
uswahili huoWapendwa kwema,
Leo nimeletewa malalamiko kwenye ndoa yangu kuwa mkewangu ana anachonganisha mtu Hadi wamekosana .
Basi Mimi sio wa maneno San nikamuomba yaishe wamsameheane. Huyo mtu akawa amenielewa .
Baada Kama ya dk kumi nikasikia Tena watu wanapurukushani za kupigani isitoshe mkewangu ni mjamzito.
Nikawaachanisha kisha ni kawpeleka ndani wote ili nizungumze nao .Basi nikaongea yakaisha Ila nikaona ni maneno ya vibarazani.
Hadi saivi nimekaa Wala sijamuuliza mkewangu ilikuwaje namwangalia tyu Kama vile hajafanya tatizo na kicheko tu.
Saivi ananichokoza niongee lkn Niko kimya Sana. Sitaki niongee.
Hebu mnipe uzoefu wenu kwenye kesi za hivi huwa mnafanyaje jmn .
I wish kuneet na mutu huyu
nilipanda nao siku moja kwenye basi wakawa wanaongea konda katuchokoza anataka tuongee ili watu wajue tumetoka Buza.Wanawake wa buza
Ilikuwa shs ngap????.....na ukumtongoza before???Kuna rafiki wa mke wangu alikuja kunilalamikia anamdai wife ila wife hataki kumlipa na anajua uwezo wa kulipa anao nilichofanya nilikuambia anipe namba yake nitamtumia kwa simu au nikikwama kwa simu nitampa cash kuna siku nikampigia aje bar flan achukue mzigo wake kweli akaja akachukua pesa yake ila na yeye akaenda kunipa asante nyumba flan ya kulala jirana na hapo