Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,051
- 7,124
AKwa kuzingatia hoja yako tuchukulie mfano huu kati ya watu hawa wawili A na B , A alisema "kazi hii nimeifanya kwa masaa 10 imenichosha Bora niende nyumbani nikafanye usafi wa nyumba nzima" mwenzie B kwa kutumia mantiki ya "uchovu" aliona mwenzie ameongea jambo linalo pishana na mantiki hiyo.
Upande wa pili ulikuwa hivi, kazi aliyokuwa akiifanya ni kukokotoa hesabu za gawio la wanahisa wa kampuni yao hivyo alikaa kwa muda mrefu na kuuchosha ubongo, alihitaji kufanya aina nyingine ya kazi ili kuupumzisha ubongo kwa kufanya kazi za nguvu na kutembea tembea.
Moja ya tafiti inasema kufikiri kimantiki ni mchakato wa kuwa uwezo wa kumbukumbu za matukio ya muda mfupi Kisha kuzihusanisha na matokea ya matukio ya baadae.
Kwa mfano huo B hakuona kwa hidden logic ya A kwamba angeweza kuupumzisha ubongo kwa kazi za usafi, hii inamaana hakufikiria tukio la muda mfupi (ukokotoaji) la mwenzie kabla ya kushangaa fikira za mwenzie.
A na B Nani alikuwa sahihi?
Kwa mtazamo wangu naona Kufikiri kwa usahihi ni ile hali ya kujua una takiwa ufanye nini kwa wakati gani na Mara zote hii hukupa Matokeo chanya na kufikiri ki mantiki ni ile hali ya kuwa na uwezo wa kuunganisha dots kadhaa ili kujua una takiwa ufanye nini kwa wakati gani. Ila hii huweza kupelekea mtu kushindwa kupata majibu yanayo tegemewa.Kufikiri kwa usahihi au usawa kukoje na kufikiri kimantiki kukoje ?
Je utajuaje kama hapa umefikiri sahihi au ni vigezo gani huzingatiwa ili nifikiri kwa usahihi ?
Kwa uelewa wangu nadhani alimaanisha Ufikiri upo kila sehemu.Hivi kwanini Albert Einstein alisema kwamba:
Logic will get you from A to B. But imagination will get you everywhere ???
Alikuwa anamaanisha nini alivyosema hivi ???
Logic ilimuongoza huyu mtu kupanga mambo yake kwa usahihi na kupitia hii hii Logic huyu mtu lazima aelewe kuna majanga/emergency (dharula) then automatic atakuwa kapanga likitokea la kutokea atalikabiri vipi.Mkuu mimi nitofautiane na wewe kidogo. Naona kuna uwezekano wa kufikiri kwa mantiki lakini usiwe sahihi. Nizungumzie hapo Kwenye mfano wako. Assume MTU ambaye ametumia logic katika kufanya vitu hivyo alivyo ainisha hapo. (Muda,solo nk). Lakini kikatokea kitu labda ugonjwa ambao ni mpya kwa msimu huo(Dawa hazipatikani au zimeshindwa kuutibu) akapata hasara. Huyu MTU atakuwa amefikiria kwa Mantiki lakini hajawa sahihi.
Nadhani imagination ni muhimu zaidiHivi kwanini Albert Einstein alisema kwamba:
Logic will get you from A to B. But imagination will get you everywhere ???
Alikuwa anamaanisha nini alivyosema hivi ???
Letsay nimekurupuka kujibu niambie wewe wajua nini maana ya Mantiki na Misingi yake ni ipi!?Nataka nikurudishe nyuma kidogo. Nini maana ya mantiki na ni ipi misingi ya mantiki ?
Huwenda mfano wangu hapo haukuwa sahihi kutokana na nilipo utumia. Ila point yangu ilikuwa hivi : tukichukulia mfano humo humo kwenye kilimo. Kuna baadhi ya misimu ambao kipindi cha kulima hali ya hewa inakuwa haishawishi kabisa. Huenda watabiri(ambao kwa kiasi kikubwa wana tumia logic zaid) wakaonyesha kutakuwa ukame au mvua nyingi kwa hiyo ikaonekana kulima kwa kipindi hicho sio salama. Sasa kwa mtu ambaye atatumia logic ni lazima atawasikiliza na wataalamu wa hali ya hewa wanasemajee na atautilia maanani ushauri huo wa kitaalamu. Kwa hiyo katika Ku plan kwake anaweza kuahirisha kulima kutokana na risks zilizo onekana. (Huyu atakuwa ametumia logic/mantiki kwa mtazamo wangu). Lakini kuna yule ambaye hana hata muda wa kuwasikiliza hapo wataalamu yeye ataingia shambani atalima. Sasa ikitokea hali ya hewa haijawa vile iliyo tabiriwa basi huyu wa pili atakuwa amefanya kitu kwa usahihi bila kuwa na logic yake wakati yule aliye tumia logic atakuwa ameshindwa kufanya.Logic ilimuongoza huyu mtu kupanga mambo yake kwa usahihi na kupitia hii hii Logic huyu mtu lazima aelewe kuna majanga/emergency (dharula) then automatic atakuwa kapanga likitokea la kutokea atalikabiri vipi.
Mantiki nzima ya mpango wake kabla lazima uhusishe na je kukiwa na ukame wa mvua atapata wapi maji, yakiibuka magonjwa atapata wapi madawa!.
Kwahiyo mpango wa kutumia Mantiki hauwezi kutokuwa sahihi hata kidogo mkuu. Labda nionyeshe mpango wa usahihi unawezaje kufanikishwa bila tumia Mantiki (logic).
Mkuu nikiacha ongelea huyo aliyetumia Logic kulima nikasema nibase na huyu aliyetumia hisia nitakuwa najipinga mwenyewe.Huwenda mfano wangu hapo haukuwa sahihi kutokana na nilipo utumia. Ila point yangu ilikuwa hivi : tukichukulia mfano humo humo kwenye kilimo. Kuna baadhi ya misimu ambao kipindi cha kulima hali ya hewa inakuwa haishawishi kabisa. Huenda watabiri(ambao kwa kiasi kikubwa wana tumia logic zaid) wakaonyesha kutakuwa ukame au mvua nyingi kwa hiyo ikaonekana kulima kwa kipindi hicho sio salama. Sasa kwa mtu ambaye atatumia logic ni lazima atawasikiliza na wataalamu wa hali ya hewa wanasemajee na atautilia maanani ushauri huo wa kitaalamu. Kwa hiyo katika Ku plan kwake anaweza kuahirisha kulima kutokana na risks zilizo onekana. (Huyu atakuwa ametumia logic/mantiki kwa mtazamo wangu). Lakini kuna yule ambaye hana hata muda wa kuwasikiliza hapo wataalamu yeye ataingia shambani atalima. Sasa ikitokea hali ya hewa haijawa vile iliyo tabiriwa basi huyu wa pili atakuwa amefanya kitu kwa usahihi bila kuwa na logic yake wakati yule aliye tumia logic atakuwa ameshindwa kufanya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huoni huyu ambaye atakuwa amefanikiwa kwa bahati (kama ulivyo sema wewe) ndiye atakaye kuwa amefikiri na kufanya kwa usahihi kwa wakati huo ? (Maana atakuwa amefanya kitu sahihi kwa muda sahihi). Na huoni kama huyu aliye tumia logic atakuwa hajafanya kitu sahihi?Mkuu nikiacha ongelea huyo aliyetumia Logic kulima nikasema nibase na huyu aliyetumia hisia nitakuwa najipinga mwenyewe.
Huyu Mkulima B ambaye aliamua fata hisia zake na akalima na akafanikiwa kuvuna wakati ambapo kihesabu ilikua haiwezekani me nitasema ni Bahati (luck) au Coincidence (kiswahili chake im -) na sio Correction (usahihi).
Sababu alilima kwa kujaribu na sio kwa usahihi maana kilimo kinahitaji ujue mambo mengi kama msimu, hali ya hewa and even ardhi unayolimia ipoje (huo ndio usahihi) ninaoufikiria mimi ambao bado kwa kuelewa tu ardhi inataka zao gani, muda gani wa kuweka mbolea etc bado Logic ipo ndani yake!.
Hata mkulima ambaye hajaenda shule bado kwa kufanya mambo yake shambani anatumia Logic sababu Mantiki sio lazima ielekezwe ni ule uwezo wa kuchakachua mambo yako!.
Kama nilivyosema awali Mantiki na Usahihi ni vitu ngumu kutenganisha. Mkulima A alitumia logic za watu wengine kuacha lima lakini Mkulima B ametumia Logic ya uelewa wake kuhusu shamba lake, hali ya hewa kufanya kilimo.Mkuu huoni huyu ambaye atakuwa amefanikiwa kwa bahati (kama ulivyo sema wewe) ndiye atakaye kuwa amefikiri na kufanya kwa usahihi kwa wakati huo ? (Maana atakuwa amefanya kitu sahihi kwa muda sahihi). Na huoni kama huyu aliye tumia logic atakuwa hajafanya kitu sahihi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilicho kuwa natofautiana na wewe ni pale ulipo sema mantiki na sahihi haviwezi kuachana. Kwa mtazamo wangu naona unaweza fikiri vitu ki mantiki zaid na usipate Matokeo sahihi/unayo tarajia. Mantiki inaleta maana pale utapo kuwa umetimiliza yake mawazo kwa usahihi. Japo wapo wanao Fanya vitu kwa usahihi lakini hawafikirii kwa mantiki. Mshindi ni yule ataye fikiri na kufanya kwa usahihi bila. (Mimi Naangalia zaidi Matokeo).Kama nilivyosema awali Mantiki na Usahihi ni vitu ngumu kutenganisha. Mkulima A alitumia logic za watu wengine kuacha lima lakini Mkulima B ametumia Logic ya uelewa wake kuhusu shamba lake, hali ya hewa kufanya kilimo.
Hapa ni sawa na kusema A anapenda chukuwa ya kuambiwa wakati B anachanganya ya kuambiwa na yake kufanya jambo!.
Inawezekana kufikiri kimantiki na usifikiri kiusahihi inawezekana...ebu chukua muda fikiria vizuri utaona ninachokimaanisha.Unawezaje kufikiri Correctly (usahihi) bila kutumia Logic (mantiki)?.
Hivi ni vitu viwili vinavyoendana, huwezi kufanya kimoja ukafanikiwa hata siku moja. Ni lazima uweze kuwa na logic ya kitu unachofanya ili kufanikisha kwa usahihi. Haitawezekana ukakamilisha jambo bila kuwa na logic ya kwanini unalifanya!.
Tuchukulie unataka kufungua biashara ya Nyanya hatua ya kwanza ni lazima ujue nini unataka kipeleka sokoni, vitu kama aina, muda, ubora, wateja, soko, package, msimu na bei ni vitu vya lazima kuvijua kabla hujaanza na hapo umetumia logic (mantiki) then unapoanza rasmi utafanya uzalishaji na kufata sheria ulizojiwekea hapo awali ili usipate hasara sokoni kwenye after sales hapo sasa unakuwa umetumia usahihi (correct).
Huwezi sema hili jambo nimelifanya kwa Logic (mantiki) bila Correction (usahihi) au huwezi sema hili jambo nimelifanya Correctly (sahihi) bila Logic (mantiki) its irrelevant!.
Unaweza tenganisha mafuta kwenye maji lakini huwezi tenganisha Mantiki na Usahihi.
Bila kunipa cha kufikiri utaendelea kunitesa kiakili tu!.Inawezekana kufikiri kimantiki na usifikiri kiusahihi inawezekana...ebu chukua muda fikiria vizuri utaona ninachokimaanisha.