blackpepper
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 381
- 16
Nani wanakaa chini bila madawati??jibu watoo wa walalahoi....wao waoo wao wanasoma Kimombo Medium Schools na wengine nje ya Nchi.TUITION fee zinatoka hapo hapo kwenye vitambulisha
Kuwepo kwa proper citizen identification kunaweza kusaidia madawati yakapatikana mapema... so Vitambulisho kwanza.
Ahh, na nyie mnaoleta hizi thread za kulalamikia dalili badala ya ugonjwa wenyewe, nanyi pia tumewachoka. Mfumo wa utawala wa nchi yetu umejengwa ktk misingi ya kukidhi haja za genge la watawala. Pindi tutakapoikomboa nchi kutoka kwa genge la watawala ndipo tutakapoeza kweli kutatua matatizo yetu objectively.