Ktk dunia ya leo hasa kwa nchi kama Tanzania ambapo uzoefu na ujuzi havina kipaumbele, unalazimika kuwa na vitu vyote viwili yaani Cheti cha chuo pamoja na Transcript.
Ila kwa nchi za wenzetu linapokuja suala la kazi wanaangalia ujuzi kwanza kisha cheti baadaye ili kuhakiki na kuwekwa ktk ngazi au daraja sahihi la mshahara, wakati Tanzania tunaanza na undugu kisha Cheti kisha Transcript na hatimaye ujuzi utafuata kwa baadaye sana.
Muhimu kuwa na vyote hasa uwapo Tanzania.