Kipi kitatokea kama facebook Ads wananidai?

Kipi kitatokea kama facebook Ads wananidai?

vicent01

Senior Member
Joined
Nov 18, 2018
Posts
100
Reaction score
94
Habari wakuu,

kuna wengine hawata nielewa .kwa mlionielewa ebu tililiken apo chini mana sitembei kwa raha maden yamezidi uko sina mengi najua kuna majenerali wenzangu wa mitandaoni mnanielewa kuhusu ujanja ujanja najiulizaga haya je?

Nitatiwa nguvuni au laa
Au tcra watanishughulikia
Na je vipi kuusu mitandao yetu tz wanaconection na fb pamoja na google ads

mana sitembei kwa raha wakubwa.
 
Miamala ya mitandaoni mfano wa Skrill, Paypal na vinavyofanana na hivi huwa unaifanya sana?
 
Miamala ya mitandaoni mfano wa Skrill, Paypal na vinavyofanana na hivi huwa unaifanya sana?
Yan sijui nikujibu vp yaan natumia kuanzia network za home kufanya Mambo ila sijaharibu nyumban ni uko tu.km ni mtaalam ushanielewa
 
Yan sijui nikujibu vp yaan natumia kuanzia network za home kufanya Mambo ila sijaharibu nyumban ni uko tu.km ni mtaalam ushanielewa
Kuna mbinu nimeivumbua ingekua ni halali nastahili tuzo kabisa
 
facebook wakikudai huwezi tu kutumia hio account kutangaza hadi ulipe, watu kibao hii michezo wanafanya.

na unaongelea kampuni inayoingiza matrilioni ya hela, haina muda wa kulipa mawakili hela ndefu kukufuatilia wewe eti umekimbia na dola 10 ama 100. sana sana wakiona watu wengi si waaminifu wataweka tu vikwazo zaidi ama kufunga kabisa matangazo kwenye nchi zetu.
 
facebook wakikudai huwezi tu kutumia hio account kutangaza hadi ulipe, watu kibao hii michezo wanafanya.

na unaongelea kampuni inayoingiza matrilioni ya hela, haina muda wa kulipa mawakili hela ndefu kukufuatilia wewe eti umekimbia na dola 10 ama 100. sana sana wakiona watu wengi si waaminifu wataweka tu vikwazo zaidi ama kufunga kabisa matangazo kwenye nchi zetu.
we ndo umenielewa chief nikajua kuna connection apo na mitandao ya Tanzania hapa au na tcra mana dah
 
Fwcebook wananidai kama $40 hivi, ila changamoto hutaweza kuboost post zako tu hadi uwalipe
 
Mimi nadaiwa $25 niliwahi kuboost mpaka Leo naona sikawalipa naona hero hiyo $25 niboost kwa page nyingine tu
 
Wananidai Dola 2500 tutafutana tu niliboost post ya ig
kumbe tupo wengi m toka wa 7 mpka sasa yan eeeeeeeh
juzi nimeenda kufanya kaz sehm moja ya serikali basi nikajua ndo tayar yan adi machizi niliwatumia message ilikua pale posta
 
Back
Top Bottom