Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
JF membars ! Hembu fungukeni mlione hili, kwamba kila NUKTA
SEKUNDE
DAKIKA
ROBO SAA
NUSU SAA
SIKU
WIKI
MWEZI
MWAKA
MUONGO (DECADE).
Zinavyosogea mbele au kupita viumbe vyote vilivyo katika uso wa dunia huongezeka umri. Na hakuna ubishi kila kiumbe kina muda mahsusi wa kuwepo duniani.
Iwe Binadamu, Ndege, Samaki, Miti, wadudu e.t.c Ndiyo kusema kila Nukta ipitayo inamsogeza binadamu katika kumuweka kua MAITI au MAREHEMU MTARAJIWA !
Mwaka wa jana ulikua na miaka 20, mwaka ujao 21, mwaka utakaofata 22! Ni kwenda mbele tu hiyo ndiyo KANUNI.
Miaka haitoki 80 kurudi nyuma!, kuna binadamu atakaeishi miaka 200 ?.
Hapa ndipo kwenye KUSUDIO langu la kimsingi, hivi inakuajekuaje tusheherekee MAPITIO YA KWENDEA KUFA ? nisengekua na hoja kama ingekua tunazaliwa na umri mkubwa then umri unarudi nyuma kisha tunarejea matumboni na kisha tunazaliwa upya!
Mafataki, Fashifashi, Shampeni, Choma matairi, Mapati makubwamakubwa yanahusu katika hili ?.
Nini mantiki na faida ya Kushereheka ukirejea kwa niliyoyaainisha hapo juu ? Fungukeni mnipe maoni yenu nini mitazamo yenu mkizingatia nyinyi ni GRETI SINKA.
SEKUNDE
DAKIKA
ROBO SAA
NUSU SAA
SIKU
WIKI
MWEZI
MWAKA
MUONGO (DECADE).
Zinavyosogea mbele au kupita viumbe vyote vilivyo katika uso wa dunia huongezeka umri. Na hakuna ubishi kila kiumbe kina muda mahsusi wa kuwepo duniani.
Iwe Binadamu, Ndege, Samaki, Miti, wadudu e.t.c Ndiyo kusema kila Nukta ipitayo inamsogeza binadamu katika kumuweka kua MAITI au MAREHEMU MTARAJIWA !
Mwaka wa jana ulikua na miaka 20, mwaka ujao 21, mwaka utakaofata 22! Ni kwenda mbele tu hiyo ndiyo KANUNI.
Miaka haitoki 80 kurudi nyuma!, kuna binadamu atakaeishi miaka 200 ?.
Hapa ndipo kwenye KUSUDIO langu la kimsingi, hivi inakuajekuaje tusheherekee MAPITIO YA KWENDEA KUFA ? nisengekua na hoja kama ingekua tunazaliwa na umri mkubwa then umri unarudi nyuma kisha tunarejea matumboni na kisha tunazaliwa upya!
Mafataki, Fashifashi, Shampeni, Choma matairi, Mapati makubwamakubwa yanahusu katika hili ?.
Nini mantiki na faida ya Kushereheka ukirejea kwa niliyoyaainisha hapo juu ? Fungukeni mnipe maoni yenu nini mitazamo yenu mkizingatia nyinyi ni GRETI SINKA.