Kipi kimekupita

Vyote lkn chandimu sitaisahau maishani mwangu. Nilicheza mpira vya kutosha.
 
Ukimuona zeru zeru unajitemea mate kwenye kitovu

mimi bibi yangu alinumbiaga hii inahusika zaidi na wasichana unatemea huku unasema Mungu niepushe niluvyoingia sec ndo nikaacha hii tabia baada ya kujua ukweli
 
Marufuku kumuonesha mwenzio kaburi/makaburi kwa kunyoosha kidole, et utakufa nawe.
daaah!

Mi mpk leo hii naifuatisha ati,bt mafindisho mengi yalikuwa ya kutishwa kama ukikalia kinu utaota majipu,ukilia kisu labda hata ndizi mbivu unaambiwa kitakata tumboni,wazamani tulilelewa vizur jaman tumekuja kujiharibu wenyew ukubwani
 
Kuendesha baiskeli ya miti kutoka kwenye mlima kuelekea bondeni
Timu yenye mpira uliotengenezwa na makaratasi akiona inapigwa bao kuweka mpira kwapani na kukimbia
 
Hapa suala si miaka mkuu,bali ni hali halisi ya kipato cha familia uliyotokea.
 
Suala sio kipato Michael Jackson alikuwa anajuta kukataliwa kucheza na watoto wenzie hivyo akaamua kujenga neverland ukubwani, conclusion hakuna tajiri wala maskini kwenye michezo, nilikuwa natoroka na kwenda kucheza sana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…