Generally faraji
Member
- Jan 29, 2013
- 47
- 0
Kuna mdogo wangu anahitaj xana msaada kujua kt ya technical eduction na A level wapi aende na ana III 23
kama una akili nenda technical, ila kama unataka form six upige four au three nenda a level ili baadae uwe mwalimu
Advanced Level maana yake ni nini ? je ina maana tech colleges sio advanced level ? .Nadhani muuliza swali kakosea kuuliza swali.
Ningekua mimi ningesema hivi " kipi bora kwenda sekondari kwa ajili ya masomo ya kidato cha 5 na 6 au kwenda kwenye chuo cha ufundi (tech college)".
Advanced Level maana yake ni nini ? je ina maana technical sio advanced level ? .Nadhani muuliza swali kakosea kuuliza swali.
Ningekua mimi ningesema hivi " kipi bora kwenda sekondari kwa ajili ya masomo ya kidato cha 5 na 6 au kwenda kwenye chuo cha ufundi (tech college)".
kama una akili nenda technical, ila kama unataka form six upige four au three nenda a level ili baadae uwe mwalimu
kama una akili nenda technical, ila kama unataka form six upige four au three nenda a level ili baadae uwe mwalimu