Anajua haswa ....Du jamaa anajua sana kutuma ujumbe wa katuni
Wanaponda kila kitu. Unaweza kufanya kitu. Ukakutana na mtu hawezi kufanya hata 10% ya kile ulichofanya wewe! Na bado ataponda!Ahahahahaaaa hakuna kizuri hata kimoja
Itakuwa Mkuu!Nadhani haka ni kaugonjwa ka hii nchi
Inamaana mmoja wapo.....