Kipanya atoka na mpya jamani

Yule kiboko wa michoro ya katuni leo tena amekuja na kitendawali kinacho hitaji kuteguliwa na wenye weledi.
Karibuni tukitegue je nikweli yasemwayo na huyo mwanafunzi?View attachment 1155771
Teeh teeh teeth 😁😁😁.....

Dogo yuko very sure kabisa kuwa anakwenda ku - disconnect waya kutoka "chanzo cha sauti" inayokuja kwenye kipaza sauti a.k.a spika...

Maana ndani ya begi likely kuna plaiz, bisbis, spanner, tester na kila kitu...!!

Hofu yetu ni kutoka kwa "wasiojulikana" wa Nissan nyeupe kumteka na kumpoteza kabisa dogo.....!!
 
Yule kiboko wa michoro ya katuni leo tena amekuja na kitendawali kinacho hitaji kuteguliwa na wenye weledi.
Karibuni tukitegue je nikweli yasemwayo na huyo mwanafunzi?View attachment 1155771



Kipanya saafi sana. This is a very strong message to Tanzanians..!!!
Huyo mwenye kipaaza sauti si mwingine baali ni Cyprian Musiba.
Mwenye kijani ni Mwenyekiti wa MafisiCCM badala ya kuchukua hatua na kumhoji huyo mwenye Kisemeo wanamshangaa kijana wa Shule(a.k.a Kipanya)...!!!Hii nchi kweli imerogwa na mchawi wake keshafariki dunia...!!!
 
Umepatia kwa mwenye kipaza sauti tu!

Lakini kwa mwanafunzi na huyo mwenye kijani, umechemka
 
Umepatia kwa mwenye kipaza sauti tu!

Lakini kwa mwanafunzi na huyo mwenye kijani, umechemka

Wewe inaonekana hujui maana ya kusoma na kuelezea Vikaragosi.....!!
Kama nimepatia mwenye kipaza sauti, iweje nikosee hao wengine? Hebu tueleze hao 2 ni kina nani ili tukuelewe....!
 
Inawezekana kabisa na gloves anazo
 
Sasa kama tumerogwa nani atakuja kutuagua huo uchawi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…