Masoud Kipanya kampeni zako kama ulilenga kumpigia JPM bahati mbaya maudhui yanaonyesha mchwa wa zamani ni ENL. Kwanza tunakushukuru kwa kuwa muwazi na pia tunafurahi kuwa JPM anakiri mwenyewe kuwa bora mchwa wa zamani.
Mamvi hana njaa na anauchukia umaskini kwa dhati, watz wengi tumeshaamua kumpa nchi.
hata waje kupiga kampeni nyumbani kwa miezi miwili mi na mamvi tu
Mamvi hana njaa na anauchukia umaskini kwa dhati, watz wengi tumeshaamua kumpa nchi.
watu wa kaskazn hamtashka ngaz ya urais hata cku mmja.kama unadhan urais ni majivuno then kaa chn ufkir familia yako.mtabak kuwa wenyeviti,
Unajipa matumaini
Unajipa matumaini