Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,329
- 4,198
I will be short
kipa bora wa ligi kuu, nyani š pin pin camara ni free agent.
kipa bora wa ligi kuu, nyani š pin pin camara ni free agent.

bilioni 7 za usajili zimetosha kuwapa mwaka mmoja mmoja tu viazi wetuI will be short
kipa bora wa ligi kuu, nyani š pin pin camara ni free agent.
View attachment 3389251
Mna tabu sana kila mchezaji kwenu ni spesho sana kuwa hakosei mpaka anunulike. Mna mentality ya hovyo sana na ndio maana kila mara mnapoteza mchezo dhidi ya Yanga kisha mnawaza wachezaji kuwa wameuza mechiAzam washindwe wao
Shida ya Camara duka sana
Azam si wamemrudisha ManulaAzam washindwe wao
Shida ya Camara duka sana
Inawezekana wewe ndio umeongea pwenti kuliko wote waliochangia hadi sasa.Wachezaji wengi waliosajiliwa simba msimu huu 2024-2025 walisainishwa kwa mwaka mmoja mmoja.
Simba walikwepa sana kuingia Gharama za kuvunja mkataba kwa mchezaji.
Saizi simba wana uhuru wa kumuongezea mkataba mchezaji ama kumuacha.
So hapo tayari umehitimisha kuwa mi Simba au siyo ponjoro!?Mna tabu sana kila mchezaji kwenu ni spesho sana kuwa hakosei mpaka anunulike. Mna mentality ya hovyo sana na ndio maana kila mara mnapoteza mchezo dhidi ya Yanga kisha mnawaza wachezaji kuwa wameuza mechi
Hapo ndio kipengele kinapoanzia.Azam si wamemrudisha Manula