Kioo cha hisense smart 4k 58 inch

Kioo cha hisense smart 4k 58 inch

papag

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
1,171
Reaction score
1,733
Wakuu za muda?
Je bei ya hichoo kioo ni kiasi gani?
Nisije pigwa kwa uzoefu wenu naomba maoni yenu
20231216_103758.jpg
 
Inaonyesha hakuna wataalam wa TV hapa JF wa kuweza kutuelezea uimara wa vioo vya TV za makampuni tofauti.
 
mtu mwingine kuvunja kioo chake ndo kukufanye usinunue tv, kama hujui hata ununue Samsung ya milion 20 ukiigonga itavunjika. ukiwa na uoga wa kuvunja nunua tu projector
Akili yako iko vizuri?

Hapa kuna members nadhani kama 4 vioo vya tv zao za Hisense vimevunjika. Watu tunataka kufahamu kuvunjika kwake labda vioo vyake havina ubora kama vya Samsung ama tatizo ni nini.

Post in thread 'Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?' Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?
 
Akili yako iko vizuri?

Hapa kuna members nadhani kama 4 vioo vya tv zao za Hisense vimevunjika. Watu tunataka kufahamu kuvunjika kwake labda vioo vyake havina ubora kama vya Samsung ama tatizo ni nini.
Hao wenyewe hawataki kitu ambit havina ubora au wanevunja wenyewe ( uzembe)
 
Akili yako iko vizuri?

Hapa kuna members nadhani kama 4 vioo vya tv zao za Hisense vimevunjika. Watu tunataka kufahamu kuvunjika kwake labda vioo vyake havina ubora kama vya Samsung ama tatizo ni nini.

Post in thread 'Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?' Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?
kua na akili wewe, ulishaona tv inavunjika kioo yenyewe? mpaka inavunjika jua imegongwa. huwez funga tv ukutani eti itoke urud uje ukute imevunjika au uweke mezani ivunjike tu yenyewe. kama una mtoto matundu yanavunja hizo ni shida zako au ww ni mlevi ukilewa ni full vurugu halafu unasahau ulifanya nn basi acha huo ujinga. hakuna kioo cha tv inavunjika chenyewe. angalia tv zote zilizovunjika lazma utaona kiligongwa wapi. haya kama kuna mtu humu tv yake ilivunjuka kioo yenyewe anyooshe mkono.

mwisho nikusaidie utajua bado mshamba. Kw ss tv inayouzwa sana Tanzania ni hisense. na hizo Samsung na LG hazinunuliw sana.

sasa chukulia kwa mwez huu hisense zmeuzwa PC 100000, Samsung PC 10000, lg PC 30000. unafikiri matatizo mengi atapata wateja wa kampuni ipi? automatic itakua hisense. ila hata hao Samsung au makampuni mengine yakiuza tv nyingi kushinda wengine nao watakua na matatizo mengi vile vile. sikupi elimu tena. mlevi ww.
 
kua na akili wewe, ulishaona tv inavunjika kioo yenyewe? mpaka inavunjika jua imegongwa. huwez funga tv ukutani eti itoke urud uje ukute imevunjika au uweke mezani ivunjike tu yenyewe. kama una mtoto matundu yanavunja hizo ni shida zako au ww ni mlevi ukilewa ni full vurugu halafu unasahau ulifanya nn basi acha huo ujinga. hakuna kioo cha tv inavunjika chenyewe. angalia tv zote zilizovunjika lazma utaona kiligongwa wapi. haya kama kuna mtu humu tv yake ilivunjuka kioo yenyewe anyooshe mkono.

mwisho nikusaidie utajua bado mshamba. Kw ss tv inayouzwa sana Tanzania ni hisense. na hizo Samsung na LG hazinunuliw sana.

sasa chukulia kwa mwez huu hisense zmeuzwa PC 100000, Samsung PC 10000, lg PC 30000. unafikiri matatizo mengi atapata wateja wa kampuni ipi? automatic itakua hisense. ila hata hao Samsung au makampuni mengine yakiuza tv nyingi kushinda wengine nao watakua na matatizo mengi vile vile. sikupi elimu tena. mlevi ww.
Akili kisoda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom