Hapa ni njaa ndo imezidi na hili joto la Daslam, nilikuwa nawaheshimu sana hawa jamaa nimeamini njaa ni mbaya sana
-----------------
Umoja wa Rastafarians Tanzanian wamefanya matembezi ya amani ndani ya jiji la Mwanza kama njia ya kuenzi na kuhimiza mila, desturi, amani na upendo vigezo ambavyo wamevitaja kuwa urithi mkuu wa Taifa la Tanzania.
Matembezi hayo yalivuta hisia za wakazi wengi wa Mwanza, huku washiriki wakibeba mabango yenye ujumbe wa amani, mshikamano na kutokomeza chuki miongoni mwa Watanzania
Akizungumza na Manara TV, Kuhani Mkuu wa Imani ya Rastafarians Tanzania, Valerian Bagaile Magena, alisisitiza kuwa Tanzania imejengwa juu ya misingi ya amani na upendo misingi ambayo, kwa mujibu wake, haitakiwi kuchezewa wala kuingiliwa na vitendo vya uchochezi
Rastafarians hao wameahidi kuendelea kuwa mabalozi wa amani na maadili mema katika jamii, wakiamini kuwa ni jukumu la kila Mtanzania kulinda na kutunza amani ya nchi kama sehemu ya urithi wa vizazi vya sasa na vijavyo
Hapa ni njaa ndo imezidi na hili joto la Daslam, nilikuwa nawaheshimu sana hawa jamaa nimeamini njaa ni mbaya sana
-----------------
Umoja wa Rastafarians Tanzanian wamefanya matembezi ya amani ndani ya jiji la Mwanza kama njia ya kuenzi na kuhimiza mila, desturi, amani na upendo vigezo ambavyo wamevitaja kuwa urithi mkuu wa Taifa la Tanzania.
Matembezi hayo yalivuta hisia za wakazi wengi wa Mwanza, huku washiriki wakibeba mabango yenye ujumbe wa amani, mshikamano na kutokomeza chuki miongoni mwa Watanzania
Akizungumza na Manara TV, Kuhani Mkuu wa Imani ya Rastafarians Tanzania, Valerian Bagaile Magena, alisisitiza kuwa Tanzania imejengwa juu ya misingi ya amani na upendo misingi ambayo, kwa mujibu wake, haitakiwi kuchezewa wala kuingiliwa na vitendo vya uchochezi
Rastafarians hao wameahidi kuendelea kuwa mabalozi wa amani na maadili mema katika jamii, wakiamini kuwa ni jukumu la kila Mtanzania kulinda na kutunza amani ya nchi kama sehemu ya urithi wa vizazi vya sasa na vijavyo
Ila angesimama akaponda jambo fulani kwa muondoko wa Captain Tesha kesho ungesikia Rasta ametekwa amepotea mazima na Butika angeinuka kesema sio Rasta huyo ni mvuta bange amethibetishwa na DCEA kuna mahali hua analima bange