Echolima1 JF-Expert Member Joined Nov 2, 2019 Posts 8,994 Reaction score 7,616 Mar 18, 2026 #1 Wakati dunia inashuhudia kuuwawa kwa viongozi madhalimu wa huko Iran watu wengi wanajiuliza Kiongozi mpya wa Kidini Ayatollah Mojtaba Khamenei yuko wapi? Kuna watu wengi wanadai jamaa hao hawaogopi kufa sasa huyu Majitaka Khamenei anatafutwa sana kwa nini hajitokezi ili afe shahidi? Adiosamigo 100 others gallow bird mdogoee zitto junior Attachments IMG_20260318_191759_740.jpg 335.9 KB · Views: 21
Wakati dunia inashuhudia kuuwawa kwa viongozi madhalimu wa huko Iran watu wengi wanajiuliza Kiongozi mpya wa Kidini Ayatollah Mojtaba Khamenei yuko wapi? Kuna watu wengi wanadai jamaa hao hawaogopi kufa sasa huyu Majitaka Khamenei anatafutwa sana kwa nini hajitokezi ili afe shahidi? Adiosamigo 100 others gallow bird mdogoee zitto junior
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 175,687 Reaction score 193,701 Mar 18, 2026 #2 Ngoja wanyoshane kidogo... Cc: Mahondaw
I inchaji JF-Expert Member Joined Jul 5, 2019 Posts 2,663 Reaction score 5,467 Mar 18, 2026 #3 tusubiri KOBAZ watupatie updates
A antimatter JF-Expert Member Joined Feb 26, 2017 Posts 51,051 Reaction score 133,332 Mar 18, 2026 #4 Atakuwa bado anajitahidi kukwepa mabikra 72 na mito ya k-vant. Labda asiwe na simu wala kifaa chochote cha mawasiliano. Ukishakubali kukalia kiti kama chake tayari umeyakanyaga, ni suala la muda tu
Atakuwa bado anajitahidi kukwepa mabikra 72 na mito ya k-vant. Labda asiwe na simu wala kifaa chochote cha mawasiliano. Ukishakubali kukalia kiti kama chake tayari umeyakanyaga, ni suala la muda tu
Yoav Gallant JF-Expert Member Joined May 23, 2023 Posts 2,893 Reaction score 6,209 Mar 19, 2026 #5 Inasemekana yuko Russia anatibiwa baada ya mtoa roho kumkosa kosa kidogo kumuwahisha kwa mabikira
A Adiosamigo JF-Expert Member Joined Oct 2, 2013 Posts 11,244 Reaction score 15,062 Mar 19, 2026 #6 View: https://youtube.com/shorts/sWG3CUwxsCQ?si=PP6qmUjLj0ms-UOV