Kiongozi mpya wa Iran Mojtaba Khamenei yuko wapi?

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,932
Reaction score
6,030
Wakati dunia inashuhudia kuuwawa kwa viongozi madhalimu wa huko Iran watu wengi wanajiuliza Kiongozi mpya wa Kidini Ayatollah Mojtaba Khamenei yuko wapi?

Kuna watu wengi wanadai jamaa hao hawaogopi kufa sasa huyu Majitaka Khamenei anatafutwa sana kwa nini hajitokezi ili afe shahidi? Adiosamigo 100 others gallow bird mdogoee zitto junior
 

Attachments

  • IMG_20260318_191759_740.jpg
    335.9 KB · Views: 3
Atakuwa bado anajitahidi kukwepa mabikra 72 na mito ya k-vant.

Labda asiwe na simu wala kifaa chochote cha mawasiliano. Ukishakubali kukalia kiti kama chake tayari umeyakanyaga, ni suala la muda tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…