PANTHERA LEO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 2,307
- 3,444
Haya ni maneno ya waziri wa maliasili na utalii, akimtakia heri na fanaka naibu waziri wa kilimo, "Hussein bashe"
Pacha Mhe. @bashehussein, kwanza, kwa mara nyingine tena, nakupongeza kwa uteuzi na kwa imani aliyokupa Mhe. Rais, na pili, nakupa pole kabisa kabisa kwa kazi iliyo mbele yako. Mungu amesikia kilio cha wazee wetu wengi wa Nzega, ambao wengi wao waliishatangulia mbele ya haki. Wazee wa Nzega waliomba sana kupata Waziri toka tupate uhuru, haikutokea mpaka nilipoteuliwa mimi na Mhe. Rais Magufuli kuwa Naibu Waziri wa Afya. Leo na wewe umeingia- wazee wa Nzega wamepata majibu ya dua na maombi yao ‘double!’. Sina shaka na uchungu ulio nao dhidi ya umaskini. Napajua unapotoka. Muhimu; jua wazi kuwa Rais @MagufuliJP ana uchungu na wanyonge na hana utani kwenye hili. Nenda kapige kazi kwa bidii! Usizembee. Weka ubunifu. Weka muda wako wote kwenye kazi yako. Kuwa mnyenyekevu kwa wadau wako na kwa watu wote, maana sasa utapimwa kwa vitu vingi na jamii siyo kujenga hoja nzito nzito pekee tu bungeni
. Usithubutu kushindana ama kupingana na mkubwa awaye yote. Mara zote kumbuka zile kanuni 3 muhimu za mafanikio mahala pa kazi: kanuni ya kwanza ni ‘the boss is always right!’, ya pili ni ‘the boss is always right!’ na ya tatu ni ‘the boss is always right!’ Be humble, hautopotea. All the best bruv. #HK #MzeeWaField #NjeYaBox
Pacha Mhe. @bashehussein, kwanza, kwa mara nyingine tena, nakupongeza kwa uteuzi na kwa imani aliyokupa Mhe. Rais, na pili, nakupa pole kabisa kabisa kwa kazi iliyo mbele yako. Mungu amesikia kilio cha wazee wetu wengi wa Nzega, ambao wengi wao waliishatangulia mbele ya haki. Wazee wa Nzega waliomba sana kupata Waziri toka tupate uhuru, haikutokea mpaka nilipoteuliwa mimi na Mhe. Rais Magufuli kuwa Naibu Waziri wa Afya. Leo na wewe umeingia- wazee wa Nzega wamepata majibu ya dua na maombi yao ‘double!’. Sina shaka na uchungu ulio nao dhidi ya umaskini. Napajua unapotoka. Muhimu; jua wazi kuwa Rais @MagufuliJP ana uchungu na wanyonge na hana utani kwenye hili. Nenda kapige kazi kwa bidii! Usizembee. Weka ubunifu. Weka muda wako wote kwenye kazi yako. Kuwa mnyenyekevu kwa wadau wako na kwa watu wote, maana sasa utapimwa kwa vitu vingi na jamii siyo kujenga hoja nzito nzito pekee tu bungeni
. Usithubutu kushindana ama kupingana na mkubwa awaye yote. Mara zote kumbuka zile kanuni 3 muhimu za mafanikio mahala pa kazi: kanuni ya kwanza ni ‘the boss is always right!’, ya pili ni ‘the boss is always right!’ na ya tatu ni ‘the boss is always right!’ Be humble, hautopotea. All the best bruv. #HK #MzeeWaField #NjeYaBox