Chakufanya Baba yetu Mzee Kingunge Tena wewe ni Mwasisi wa Chama chetu twende mahakamani kupinga matokeo kwa vile Taratibu zimekiukwa mno. hii siyo sawa, siyo kwamba nina mtu wangu hapana tufuate taratibu kwani Tanzania ni yetu soteAah wapi akina Bilal,pinda wassira sio watu?
Chakufanya Baba yetu Mzee Kingunge Tena wewe ni Mwasisi wa Chama chetu twende mahakamani kupinga matokeo kwa vile Taratibu zimekiukwa mno. hii siyo sawa, siyo kwamba nina mtu wangu hapana tufuate taratibu kwani Tanzania ni yetu soteAah wapi akina Bilal,pinda wassira sio watu?
Naomba tena niseme Lowassa aingia Ukawa agombee jimboni kwake kisha apewe Uwaziri Mkuu ili waliomnyanyasa Kisaikolojia waumia wao njoo baba yetu sisi tuna kuhitaji bado tuko wengi hasa chadema njoo usijali
Naomba tena niseme Lowassa aingia Ukawa agombee jimboni kwake kisha apewe Uwaziri Mkuu ili waliomnyanyasa Kisaikolojia waumia wao njoo baba yetu sisi tuna kuhitaji bado tuko wengi hasa chadema njoo usijali, sisi vijana wenzako tunakuhitaji sana tena sana
Imekuwa ni jadi sasa kwa Watanzania kuwa na tatizo la kusahau namna siasa za CCM zilivyo hapa nchini. Mwaka 2005 Rais wa sasa Kupitia C CM Kikwete alionekana kuwa chaguo sahihi na baadhi ya watu na viongozi wa kidini walisema alikuwa ni chaguo la Mungu!
Lakini utendaji wake na hasa katika kushughulikia matatizo ya wananchi ya moja kwa moja haukuwaridhisha wananchi wengi na baadhi wanasema kheri aondoke mapema. Leo naona amekuja Dr. Magufuli
ghafla Watanzania naona wamesahau taabu na suluba zilizosababishwa na uongozi wa chama kile kile cha CCM. Sasa watu wameanza tena kuweka matumaini ya ukombozi mpya wa kiuchumi na tofauti za kitabaka utakaoletwa na Dr.Magufuli.
Ni muhimu tukajiuliza ni njia zipi mpya ambazo Dr.Magufuli atatokea ambazo wenzake hawakuzipitia? Wakati wananchi tukiendelea kupigika ndani ya utawala wa CCM, Dr.Magufuli alikuwa ni sehemu ya uongozi uliotufikisha hapa. CCM ina sera ambazo kwa sasa wanahitaji mfumo mpya wa uongozi na lazima wajifunze wakiwa nje ya uongozi ndipo wanaweza kuelewa haya tunayoyazungumza.
Ni vema watanzania tukawa na fikra za kimapinduzi ili kifanya maamuzi magumu dhidi utawala wa kimazoea na kuingiza utawala wa kisasa unaojali mahitaji na mawazo ya wananchi wa hali ya chini kuliko ilivyo sasa!
Naomba tena niseme Lowassa aingia Ukawa agombee jimboni kwake kisha apewe Uwaziri Mkuu ili waliomnyanyasa Kisaikolojia waumia wao njoo baba yetu sisi tuna kuhitaji bado tuko wengi hasa chadema njoo usijali, sisi vijana wenzako tunakuhitaji sana tena sana
Cha msingi Lowasa aingie cdm amkomoe kikwete na maccm wengine
Akihamia cdm akachukue fomu ya ubunge pale monduli na ahakikishe wale wafuasi wake wote wanakuja upinzani