KINGAMUZI cha TING

KINGAMUZI cha TING

Joined
Oct 21, 2018
Posts
68
Reaction score
25
N nan anipe ubora wa Kingamuzi cha TING ambaye anacho na anaktumia.na je chane za bure zinaonekana iwapo kifurushi kimeisha
 
Kwa kifupi kisimbuzi cha Ting hakina uangavu mzuri wa picha.Ni miaka karibia mitatu sasa tangu niachane nacho na kwenda kwa Azam.Nilinunua 130000tsh Songea.Wakati huo chaneli za bure zilikuwa Agape, TBC na vichanel vya dini.Ila ninachokimisi kutoka kwao ni Dubai One.Hiyo channel ni full series za ukweli.
 
Kwa kifupi kisimbuzi cha Ting hakina uangavu mzuri wa picha.Ni miaka karibia mitatu sasa tangu niachane nacho na kwenda kwa Azam.Nilinunua 130000tsh Songea.Wakati huo chaneli za bure zilikuwa Agape, TBC na vichanel vya dini.Ila ninachokimisi kutoka kwao ni Dubai One.Hiyo channel ni full series za ukweli.
Asee may b kwa sasa pcha ztakuwa ubora c technolgy imekuwa
 
Back
Top Bottom