Watanzania bwana, hiyo TV 1 yenye vipindi vya miaka mitatu iliyopita vya MTV Base na E!?
Startimes mbona ina channel nyingi nzuri za music, movies na vipindi vya kawaida?
Wengi wa wanaolalamikia Startimes huwa wale wa habari za mtaani.
Mimi nina DStv na Startimes, sitaki kuiponda Startimes kuwa eti majanga.