King'amuzi cha Continental

King'amuzi cha Continental

NGARUKA

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2014
Posts
402
Reaction score
71
Jamani mimi ni mteja wa Continental decoder,jamani hawa jamaa hv kweli wako siriasi na wanachokifanya.
1. Page yao Facebook wameitelekez wanaingia pale kurekebisha bei ya decoder kisha wanasepa,hawajibu comments za wateja wao kabisa.
2.Namba zao za simu hazipatikani mpaka kesho,kila siku.
3.Matangazo ya kurekebisha yanafanyika STAR TV wakati hii channel haipatikani kwa Watz wengi wale watumia FTA dishes,zuku,Azamtv,cables n.k
Hv hawa jamaa walikurupuka kuanzisha king'amuzi kwa kuiga tu au kweli wanajali wateja wao.
Najuta kununua Continental anyway nimehamia Azamtv.
Anayetaka Continental anitafute elfu SITINI TU.
 
basi bwana,sikiuzi nakitunza kwenye makumbusho yangu ya ving'amuzi.
SI VIZURI KIBAYA UMPE MWENZIO
 
Hongera mkuu kwa uamuzi wako wa kuigwa make hata mie nilianza kuwatahadharisha Startimes lakini nilivyoona wanatia pamba nikachukua maamuzi,sahiv tuko pamoja Azamtv tunajivunia kuangalia screen clear kabisa

Na kwa wale wengine mliokuwa bado mko kwenye michepuko rudini njia kuu jamani.
 
Watu mnapenda kujipa ugonjwa wa moyo.nunueni king'amuzi cha Azam
 
Jamani Mimi ni muathirika wa continental, Niko Moshi. Yaani ni mateso, mwanzo nilikuwa natumia cha antenna, kikawa kinasumbua, nikaenda ofisini kwao wakanambia tumia cha dish. Nimenunua lakini majanga ni Yale Yale. Kina scratch moja kwa moja. Naona hawa jamaa hawakujipanga kufanya biashara hiyo. Sijui nani wa kutusaidia kwa hilo.
 
Jamani Mimi ni muathirika wa continental, Niko Moshi. Yaani ni mateso, mwanzo nilikuwa natumia cha antenna, kikawa kinasumbua, nikaenda ofisini kwao wakanambia tumia cha dish. Nimenunua lakini majanga ni Yale Yale. Kina scratch moja kwa moja. Naona hawa jamaa hawakujipanga kufanya biashara hiyo. Sijui nani wa kutusaidia kwa hilo.
Niuzie cha antenna
 
Jamani Mimi ni muathirika wa continental, Niko Moshi. Yaani ni mateso, mwanzo nilikuwa natumia cha antenna, kikawa kinasumbua, nikaenda ofisini kwao wakanambia tumia cha dish. Nimenunua lakini majanga ni Yale Yale. Kina scratch moja kwa moja. Naona hawa jamaa hawakujipanga kufanya biashara hiyo. Sijui nani wa kutusaidia kwa hilo.

Mkuu Kiroga ,
Vipi Continental kwa sasa, ukamataji wake kwa maeneo ya Moshi ?

-Kaveli-
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom