King Musukuma: Kitwanga akienda kuzima mitambo ya maji apigwe mabomu aonje joto ya jiwe

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
6,067
10,936
Hebu ngoja niwakumbushe tukio la mwaka 2014. Wakati Mheshimiwa Kitwanga akiwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, alikuja Geita . Mimi kama mwenyekiti wa CCM wa mkoa nikawaambia wananchi wasitoke mpaka walipwe na mzungu, yeye akaja akamwambia mkuu wa mkoa hata kama kuna mwenyekiti wapigwe mabomu na kweli kesho yake tulipigwa mabomu.

“Kwa hiyo nataka nimwambie Waziri wa Mambo ya Ndani siku akienda kuunganisha wananchi palepale Misungwi naye apigwe mabomu aonje joto ya jiwe. Haiwezekani waziri uliyekula kiapo, ukitimuliwa unakuja humu kutuchanganya, wakati hatujui mambo mliyokuwa mnazungumza kwenye cabinet (baraza la mawaziri).”
 
Profesa maji marefu ndiyo boss wa waganga bungeni
Maji marefu ndiyo boss mkuu wa waganga akifuatiwa king musukuma.

Nimefurahj kumuona le profesa maji marefu baada ya kulazwa muhimbili kwa muda mrefu, sasa katoka kapata nguvu mpaka anabeba wapiga kura mgongoni kuwavusha kwenye madimbwi ya maji kipindi hiki cha mvua jimboni kwake,
wanapendaga mafollowers kama wasanii.
 
Kitwanga aliongea akiwa kitwanga nilimfatilia vzur sn kuna wakat anapepesa mdomo na kukosa stamina hata mbunge wa pemben yake anamshangaa hv. Kimsingi wanapokua madarakani hawatumii busara wanajiona miungu watu na wanapo pokwa madaraka ndo wanajifanya kua karbu na wananchi
 
Kitwanga aliongea akiwa kitwanga nilimfatilia vzur sn kuna wakat anapepesa mdomo na kukosa stamina hata mbunge wa pemben yake anamshangaa hv. Kimsingi wanapokua madarakani hawatumii busara wanajiona miungu watu na wanapo pokwa madaraka ndo wanajifanya kua karbu na wananchi
Pale Kitwanga yuko sober ndiyomaana anayumba; yuko vise verse
 
Kitwanga aliongea akiwa kitwanga nilimfatilia vzur sn kuna wakat anapepesa mdomo na kukosa stamina hata mbunge wa pemben yake anamshangaa hv. Kimsingi wanapokua madarakani hawatumii busara wanajiona miungu watu na wanapo pokwa madaraka ndo wanajifanya kua karbu na wananchi
Nilimuona Mkuu..
Pale lazima bapa zilikuwa zimeshatulia kichwani.
 
Back
Top Bottom