King James Version (1566–1625)

Toka 1534 BK ,wakati wa Mfalme Henry viii,mfalme wa Uingereza ndo mkuu wa kanisa la kiingereza yaani Anglikana.
 
Chipukizi jamaa yuko busy.
Najua hawez Kimbia Andiko lake lenye Hoja nzito namna hii.

Au Unahisi anaangalia alaf anashindwa cha kujibu? .😂😂😂😂 hapana. Yuko busy tu.

Basi ukija Covax ndugu yangu katika iman naomba unitag.
M getting busy kidogo.
 
Unatumia biblia ipi? Version ipi mkuu niambie haraka ni kujibu.
 
Nipo hapa Namsubiria Arudi niendelee nae🤣🤣
 
Mkuu ahsante kwa observation yako.Yohana 7:53 (SUV Union Version):
"Wakaenda kila mtu nyumbani kwake."........
Aya hii ni mwisho wa sura ya 7 na inatambulika kuwa ni mwanzo wa hadithi maarufu ya "mwanamke mzinzi" ambayo huendelea kwenye Yohana 8:1–11 ambapo Yesu anasema: “Yeyote asiye na dhambi, na awe wa kwanza kumpiga kwa jiwe.”

Lakini kuna jambo la muhimu:
Sehemu ya Yohana 7:53 hadi 8:11 haipatikani kwenye maandiko ya Kigiriki ya kale zaidi. Tafsiri nyingi za kisasa (kama NIV, ESV) huweka maelezo kuwa sehemu hiyo:
Haikuwepo kwenye maandiko ya awali Inaaminika kuwa iliongezwa baadaye. Sasa ndo ujue utata uliopo kwenye biblia.
 

Attachments

  • Is Jesus a prophet only #islam #muslim #christian #christianity #bible #jesus #josef_sweden.mp4
    3.4 MB
Weka hayo maandishi ya kigiriki basi tuyaone- alafu ujanijibu .unaruka ruka tu kama maharage jikoni
 

Attachments

  • Is Jesus a prophet only #islam #muslim #christian #christianity #bible #jesus #josef_sweden.mp4
    3.4 MB
mkuu nikimbie kwa hoja ipi nyie mlio nao hata unashindwa kunitajia version ya biblia unao tumia unatapa tapa tu.......
 
Weka hayo maandishi ya kigiriki basi tuyaone- alafu ujanijibu .unaruka ruka tu kama maharage jikoni
Sasa wewe vip mimi ntaweka je maandishi ya kigiriki ambao hayapo, jamani someni dini yenu muelewe mnakua vituko hata kushindwa kuuliza swali la maana loh!!!!
 
Unatumia biblia ipi? Version ipi mkuu niambie haraka ni kujibu.

Na hapa ndio nataka KUPIMA Ukubwa wa Uelewa wako.

Hoja niliojibu mimi ambayo ni yako ni hii chini
"Baadhi ya aya si sahihi au hazipo katika maandiko ya kale
Mfano: Yohana 5:7-8 inaongezea dhana ya Utatu (Trinity) ambayo haipo kwenye maandiko ya kale zaidi."

Ina maana Haya "maandishi ya utatu " hayako kwenye Biblia hii ya sasa ila yako kwenye maandiko ya Biblia ya kale.

(Kwa maana nyingne "mandiko ya utatu" yameongezwa kwenye version nyingne na hayakuwepo zamani.)

Pia Ina maana kuwa "maandiko ya utatu" yapo kwenye maandiko ya sasa na hayakuwepo kwenye version ya zamani.

Sasa Na mm nimekutolea maandiko Yaliyopo kwenye Biblia yakisema tofauti na hayo unayoita ya sasa .
Kuwa hakuna maandiko kama hayo.

Najua kwa uelewa wako ni ngumu kuelewa ila soma mara 10 kumi.

Summary
Iwe na tumia Biblia version yoyote ile. Maandishi hayo yako ya juu uliyotoa "kuhusu utatu " hayako . Na huo mstar wa 53 haupo na mandiko mengine uhalali gan umemanisha.

Wewe umeyatoa wapi?.

Omba msamaha umepotosha jamii au futa /rekebisha yale mandishi.
 
Sasa wewe vip mimi ntaweka je maandishi ya kigiriki ambao hayapo, jamani someni dini yenu muelewe mnakua vituko hata kushindwa kuuliza swali la maana loh!!!!
Hayapo?? Sasa wewe umeqoute tokea wapi mkuu?? Tuendelee kupunga Majini mkuu
 

Attachments

  • ssstwitter.com_1752599098510.mp4
    3.4 MB
mkuu nikimbie kwa hoja ipi nyie mlio nao hata unashindwa kunitajia version ya biblia unao tumia unatapa tapa tu.......

Sasa Ww nitajie toleo jipya la Biblia ambalo hayo maandishi yapo.

Au unahisi niko na Biblia toleo la 1750. Ambayo nasoma kwa Kiswahili😂😂😂😂

Omba radhi
 
Yesu Ni Mungu
 

Attachments

  • How To Prove Jesus is God Using The Quran And Bible Relevant Articles-Sources- https---www.answe.mp4
    12.4 MB
Sasa wewe vip mimi ntaweka je maandishi ya kigiriki ambao hayapo, jamani someni dini yenu muelewe mnakua vituko hata kushindwa kuuliza swali la maana loh!!!!
sasa huoni kama tunawezakuwa tunaibua madai ya kiduanzi namna hii kila sehemu,tukiombwa kuwasilisha tunajitetea kuwa hayapo!!!!
wewe ulichotakiwa ni kuleta hayo maandiko ya kigiliki ambayo hayana andiko hilo.
 

Unachekesha sana.
Biblia gan imeongeza hayo?.

Ww si unajua version za Bible.
 
 
Mkuu Castle_Lite wewe ndo unachanganya ndo unazidi kuonyesha udhaifu wa biblia sasa na nuku hiyo KJV.

Yohana 5:7–8 (King James Version – KJV)

"For there are three that bear record in heaven, the Father, the Word, and the Holy Ghost: and these three are one"

8. And there are three that bear witness in earth, the Spirit, and the water, and the blood: and these three agree in one.

Hoja Sehemu ya mstari wa 7 (wa mbinguni): “the Father, the Word, and the Holy Ghost: and these three are one”

haipo katika maandiko ya Kigiriki ya kale zaidi. Imeaminika kuwa iliandikwa baadaye ili kuunga mkono fundisho la Utatu Mtakatifu (Trinity).

Tafsiri nyingi za kisasa (NIV, ESV, etc.) *haziawekwi maneno hayo au huwekwa kwa mabano.

Jua hili Yohana 5:7–8 (Injili) haina suala la Utatu. Lakini 1 Yohana 5:7 (Barua) ina sehemu tata kuhusu Utatu ambayo haikuwepo katika maandiko ya kale na ni mfano dhahiri wa maandiko. ya liyoongezwa baadaye kwa ajili ya mafundisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…