The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 1,876
- 5,443
"Amelaanika aongozwae na mwanamke". Yani kwa sasa Tozonia hata shetani anatushangaa. Tumekua taifa la urojo waTanzania wote ni kama wanawake tu.
Kinara wa demokrasia Marekani, ila wao waligoma kata kuongozwa na mwanamke. wote kwa pamoja Democrats na Republican wakaamua uraisi bora wampe kichaa Trump kuliko kumpa Hillary Clinton najua hata ingekua mchuano ni kati ya paka nyau na bibie Hillary Clinton kura zingemwangukia nyau.
The smart brains wanatujazaga maujinga ila wao wanajua na "wanatii" kanuni za asili. Mwanaume ni mwanaume tu. Sisi huku na chief Hangaya wetu yupo yupo tu huku nchi ikiendeshwa na familia ya Msoga ni mwendo wa kula kwa urefu wa kamba qmmke huku wananchi wanapambana na bei za bidhaa kupanda, tozo, rushwa imerudi tena, deni la taifa kupaa.
Disclaimer: mimi sio Sukuma gang, wala sio Msoga FC, wala sio Maushungi kwaya, wala sio tem mamboga mboga.
Kinara wa demokrasia Marekani, ila wao waligoma kata kuongozwa na mwanamke. wote kwa pamoja Democrats na Republican wakaamua uraisi bora wampe kichaa Trump kuliko kumpa Hillary Clinton najua hata ingekua mchuano ni kati ya paka nyau na bibie Hillary Clinton kura zingemwangukia nyau.
The smart brains wanatujazaga maujinga ila wao wanajua na "wanatii" kanuni za asili. Mwanaume ni mwanaume tu. Sisi huku na chief Hangaya wetu yupo yupo tu huku nchi ikiendeshwa na familia ya Msoga ni mwendo wa kula kwa urefu wa kamba qmmke huku wananchi wanapambana na bei za bidhaa kupanda, tozo, rushwa imerudi tena, deni la taifa kupaa.
Disclaimer: mimi sio Sukuma gang, wala sio Msoga FC, wala sio Maushungi kwaya, wala sio tem mamboga mboga.