Huyu Bwana si msomali?Atakuwa ameenda kwao kenya kuna wasomali wenzake.Pia kuomba ushauri kwani mbele yake kuna "NGUVU YA UMA"pepoziii
Naomba kuuliza hivi hapa TZ makabila gani ndio wazawa halisi? mimi ni Msambaa najia kuwa ni mtanzania halisi, Je wewe mwenzetu????????