Kinana: CHADEMA, chama cha ku-copy na ku-paste

Kinana: CHADEMA, chama cha ku-copy na ku-paste

Malaika Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2014
Posts
902
Reaction score
909
Mbunge wa jimbo la Arusha Kanali Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi katika jimbo hilo mwaka 1985 huku akiwa amevaa kombati za kaki. CHADEMA waliiga aina hii ya mavazi na kujifanya wamebuni wao.

Vijana wengi mnaotukana humu mlikua bado hamjazaliwa wengine mliku mmezaliwa ila Kamasi zimejaa kwenye pua zenu

Hayaa nasubiri povu .....

1465813023676.jpg
 
kwahiyo.....wahi kachukue buku 7 fasta.
 
we akili za """ yaani matope huna unachosema chenye maana .
 
"CCM msipowdhibiti huyu dikteta wenu, tutamdhibiti sisi" - Zitto Kabwe.
 
Back
Top Bottom