security guard
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 799
- 603
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana Katika ziara yake ya wilayani Nzega leo amefika Itobo na kufanya mkutano mkubwa Itobo Sokoni,na kuingiza zaidi ya wanachama wapya 700 na huku wengine wakijiunga kutokea vyama vya upinzani.
Katibu Mkuu akiwa ameongozana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ,leo alishiriki katika kuweka jiwe la msingi ofisi za CCM Tawi ,kukagua miradi ya maji .
Katibu Mkuu akiwa ameongozana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ,leo alishiriki katika kuweka jiwe la msingi ofisi za CCM Tawi ,kukagua miradi ya maji .