Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
![]()
Hapa vipi nayo ni aibu ya LOWASSA, kakimbia
Hapo wameenda kumpokea kamanda.
Nyomi ipo uwanjani.
![]()
Hapa vipi nayo ni aibu ya LOWASSA, kakimbia
![]()
Hapa vipi nayo ni aibu ya LOWASSA, kakimbia
Huyu hapa anakimbia
![]()
![]()
Hapa vipi nayo ni aibu ya LOWASSA, kakimbia
View attachment 297120
Kinana ameukimbia mkutano wa jimbo la Muhambwe(Kibondo) baada ya kukosa watu, kinana aliyeingia kwa mbwewe za Helcopter maarufu kama
( CHOPA) Alishangazwa na kuona uwanja ukiwa mweupe bila watu. Ambapo aliamua kusepa na kuacha gumzo ndani ya mji. Huku akiwaacha wana CCM wakirushiana MASUMBWI au NGUMI, baada ya mtafaruku wa makundi ambayo mpaka sasa yanaendelea kufukuta. Huku kukiwa na kundi ambalo linaunga mkono mgombea UBUNGE (NDITIYE) na lingine likiwa haliungi mkono likiwa linaunga mkono aliyekuwa mshindi wa kwanza aliye enguliwa (JAMALI TAMIMU).
HALI SI SHWARI