Kinana apata aibu Muhambwe,akimbia

Kinana apata aibu Muhambwe,akimbia

maatope

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2013
Posts
1,422
Reaction score
957
12072641_940527812707771_9152522719097222277_n.jpg

Kinana ameukimbia mkutano wa jimbo la Muhambwe(Kibondo) baada ya kukosa watu, kinana aliyeingia kwa mbwewe za Helcopter maarufu kama
( CHOPA) Alishangazwa na kuona uwanja ukiwa mweupe bila watu. Ambapo aliamua kusepa na kuacha gumzo ndani ya mji. Huku akiwaacha wana CCM wakirushiana MASUMBWI au NGUMI, baada ya mtafaruku wa makundi ambayo mpaka sasa yanaendelea kufukuta. Huku kukiwa na kundi ambalo linaunga mkono mgombea UBUNGE (NDITIYE) na lingine likiwa haliungi mkono likiwa linaunga mkono aliyekuwa mshindi wa kwanza aliye enguliwa (JAMALI TAMIMU).

HALI SI SHWARI
 
Hahahaaa!! Ina maana bado yuko ndani ya chopa hiyo:what:
 
alidhan atakuta nyomi, tangu gwegenyeza ajiuzulu, jamal tamim kukatwa, CCM kibondo hoi. ukawa nao hawana chao, Mkosamal hana mashiko, tumeamia chauma kwa Mapigano. nko hapa ccm nasoma magazet na kusikiliza politics stories,
 
wale vijana waliokodiwa nyumba masaki na kupewa laptops sijui wana lipi lakusema hapa
 
Mr chin anachakachua atakuja fasta kukuprove wrong sasa hivi. Halafu utawasikia oooh mikutano ya ukawa watu wanafuata kushangaa chopa
 
View attachment 297120

kinana ameukimbia mkutano wa jimbo la muhambwe(kibondo) baada ya kukosa watu, kinana aliyeingia kwa mbwewe za helcopter maarufu kama
( chopa) alishangazwa na kuona uwanja ukiwa mweupe bila watu. Ambapo aliamua kusepa na kuacha gumzo ndani ya mji. Huku akiwaacha wana ccm wakirushiana masumbwi au ngumi, baada ya mtafaruku wa makundi ambayo mpaka sasa yanaendelea kufukuta. Huku kukiwa na kundi ambalo linaunga mkono mgombea ubunge (nditiye) na lingine likiwa haliungi mkono likiwa linaunga mkono aliyekuwa mshindi wa kwanza aliye enguliwa (jamali tamimu).

Hali si shwari

porojooooo
 
View attachment 297120

Kinana ameukimbia mkutano wa jimbo la Muhambwe(Kibondo) baada ya kukosa watu, kinana aliyeingia kwa mbwewe za Helcopter maarufu kama
( CHOPA) Alishangazwa na kuona uwanja ukiwa mweupe bila watu. Ambapo aliamua kusepa na kuacha gumzo ndani ya mji. Huku akiwaacha wana CCM wakirushiana MASUMBWI au NGUMI, baada ya mtafaruku wa makundi ambayo mpaka sasa yanaendelea kufukuta. Huku kukiwa na kundi ambalo linaunga mkono mgombea UBUNGE (NDITIYE) na lingine likiwa haliungi mkono likiwa linaunga mkono aliyekuwa mshindi wa kwanza aliye enguliwa (JAMALI TAMIMU).

HALI SI SHWARI
helikopta.jpg
 
Mr chin anachakachua atakuja fasta kukuprove wrong sasa hivi. Halafu utawasikia oooh mikutano ya ukawa watu wanafuata kushangaa chopa
HAPA Lowassa anakimbia baada ya mkutano wake KUDODA

helikopta.jpg
 
View attachment 297120Kinana ameukimbia mkutano wa jimbo la Muhambwe(Kibondo) baada ya kukosa watu, kinana aliyeingia kwa mbwewe za Helcopter maarufu kama ( CHOPA) Alishangazwa na kuona uwanja ukiwa mweupe bila watu. Ambapo aliamua kusepa na kuacha gumzo ndani ya mji. Huku akiwaacha wana CCM wakirushiana MASUMBWI au NGUMI, baada ya mtafaruku wa makundi ambayo mpaka sasa yanaendelea kufukuta. Huku kukiwa na kundi ambalo linaunga mkono mgombea UBUNGE (NDITIYE) na lingine likiwa haliungi mkono likiwa linaunga mkono aliyekuwa mshindi wa kwanza aliye enguliwa (JAMALI TAMIMU). HALI SI SHWARI
Hiyo ni ngome ya ACT chini ya Mkosamali
 
View attachment 297120

Kinana ameukimbia mkutano wa jimbo la Muhambwe(Kibondo) baada ya kukosa watu, kinana aliyeingia kwa mbwewe za Helcopter maarufu kama
( CHOPA) Alishangazwa na kuona uwanja ukiwa mweupe bila watu. Ambapo aliamua kusepa na kuacha gumzo ndani ya mji. Huku akiwaacha wana CCM wakirushiana MASUMBWI au NGUMI, baada ya mtafaruku wa makundi ambayo mpaka sasa yanaendelea kufukuta. Huku kukiwa na kundi ambalo linaunga mkono mgombea UBUNGE (NDITIYE) na lingine likiwa haliungi mkono likiwa linaunga mkono aliyekuwa mshindi wa kwanza aliye enguliwa (JAMALI TAMIMU).

HALI SI SHWARI

Picha zenu haziaminiki.chopa imepaki mbali kabisa na uwanja wa mkutano unataka kutuaminisha kuwa hao watu ndio mkutano
 
View attachment 297120

Kinana ameukimbia mkutano wa jimbo la Muhambwe(Kibondo) baada ya kukosa watu, kinana aliyeingia kwa mbwewe za Helcopter maarufu kama
( CHOPA) Alishangazwa na kuona uwanja ukiwa mweupe bila watu. Ambapo aliamua kusepa na kuacha gumzo ndani ya mji. Huku akiwaacha wana CCM wakirushiana MASUMBWI au NGUMI, baada ya mtafaruku wa makundi ambayo mpaka sasa yanaendelea kufukuta. Huku kukiwa na kundi ambalo linaunga mkono mgombea UBUNGE (NDITIYE) na lingine likiwa haliungi mkono likiwa linaunga mkono aliyekuwa mshindi wa kwanza aliye enguliwa (JAMALI TAMIMU).

HALI SI SHWARI

acha kupotosha jamii bwana Mdogo ratiba ilikuwa inasema saa tisa ila yeye akafika saa saba na robo na hiyo Chopa ilipaki shule ya sekobdari b shop na mkutano kwa kiasi walikuwa sio wengi Wa kutosha kutokana na mda kuwa tofauti na mda. kwa ujumla Huyu Felix Wa ukawa anahali Mbaya sana waha sio wajinga kwa sababu zifuatazo
act mgombea ubunge ni kaka yake Mkubwa bwana ediga na baba yao huwa anasikika akisema kuwa yy ndiye mwenye watoto wenye Akili Ndio maana kasimamisha watoto wake.
kitu kilichomuingiza kwenye ubunge ilikuwa ni udini sasa kipindi hiki mdhehebu yote yametulia
Wananchi wamechoka na matusi ambayo huwa anayoyatoa bungeni hatekelezi lililompeleka bungeni.
Wangombea Wa ubunge wako wanne kinachoipa nafadi chama cha mapinduzi kwa kuwa inawanachama wengi

Felix Mkosamali akipata ubunge nahamia Burundi
 
Back
Top Bottom