Kinana apata aibu Bukoba mjini baada ya CCM kukataliwa na wana Bukoba

nyie wahaya hata stendi imewashinda kujenga....inafanana na majaruba ya mpunga kwa jinsi inavyojaa tope....soko ni chafu sijapata kuona

"Tunakaa mbezi, masaki, obay....of course na uswizi, SA, marekani na canada..., tujenge stendi ya nini wakati tunapanda ndegee?"
 
Ukweli ni kuwa huyu jamaa kadanganya watu wengi wamehudhuria ingawa hicho si kigezo cha kukubalika kwani kuna burudani na kuna wale wanaokuja kuangalia kama kuna jipya
Mkuu siwezi kudanganya najaribu ku upload picture ila simuyangu inasumbua,nakuhakikishia ntaweka pictures hata badae
 
umesoma kichwa cha habari hapo juu??
8.jpg

15.jpg
16.jpg

7.jpg
picha zenyewe mmeziediti kidizaini ,hebu mwangalie vizuri mr.tembo (kinana)!
 
Ndugu zangu wa Haya tabu ni moja kila mmoja kasoma maendeleo hakuna kwa bahati mimi mziba tutakaa na ujinga wetu si siku nyingi hata warundi na wanyarwanda tuliokuwa tunawadharau wametupita Chadema mnaokumbatia nenda kwao uone ujinga wa kihaya subiri kama warundi awatawazalia watoto ccm imefanya mengi lakini mwasigara omukusiana no obumalaya bwa baisile
nimbagambila mulasigala ali munyauko.hamtaki kusikia kukalia umbea Kinana usisumbuke nao watakula jeuto yao nchi yenye neema kama Kagera wasomi wanakumbatia siasa za maji taks za Chadema subiri baada ya uchaguzzi kama amtakwenda na mnyauko Bagambila balinsi............mtamalizia wenyewe
 
Ndugu zangu wa haya tabu ni moja kila mmoja kasoma maendeleo hakuna kwa bahati mimi mziba tutakaa na ujinga wetu si siku nyingi hata warundi na wanyarwanda tuliokuwa tunawafharau wametupita Chadema mnaokumbazia nenda kwao haeana ujinga wa kihaya subiti kama warundi awatawazalia watoto ccm imefanya mengi lakini mwasigara omukusiana no obumalaya bwa baisile nimbagambila mulasigala ali munyauko.hamtaki kusikia kukalia umbea Kinana usisumbuke nao watakula jeuto yao nchi yenye neema kama Kagera wasomi wanakumbatia siasa za maji taks za Chadema subiri baada ya uchaguzzi kama amtakwenda na mnyauko Bagambila balinsi............mtamalizia wenyewe

Ngedere wewe hata haujitambui ccm imekufanyia nini kwa miaka 50 zaidi ya kukutia umaskini
 
Akili za mtu mjinga anapoambiwa ukweli anamaka unataka ccm ilufanyie nini zaido ya wewe kufanya kazi kakujengea barabara akili hamna za kufikiri mwasiga amagezi sada mnatumia akili na bafo mpala akili zikae vizuri mmedekeza uvivu nani asiyejua nchi yenye nrema mnabaki kuhemea Uganda mnabaki kwrnye umbea mji imekamatwa na Wachaga yupo mhaya gani moshi sasa wanaealetea uchadema mnaingia mkenge kjiulize.Namsifu Kinana kawapa vipande vyenu hata msipo chagua ccm mtakiona cha moto endekezeni njaa
 
Akili za mtu mjinga anapoambiwa ukweli anamaka unataka ccm ilufanyie nini zaido ya wewe kufanya kazi kakujengea barabara akili hamna za kufikiri mwasiga amagezi sada mnatumia akili na bafo mpala akili zikae vizuri mmedekeza uvivu nani asiyejua nchi yenye nrema mnabaki kuhemea Uganda mnabaki kwrnye umbea mji imekamatwa na Wachaga yupo mhaya gani moshi sasa wanaealetea uchadema mnaingia mkenge kjiulize.Namsifu Kinana kawapa vipande vyenu hata msipo chagua ccm mtakiona cha moto endekezeni njaa

Wewe bwana uncle acha matusi. Wahaya kukuonyesheni kidogo kuwa hatulizishwi na mwenendo wa CCM wewe unaporomosha matusi kisa ni nini? Hii ndio tabia yenu. Ninyi mkisha pata wasio pata hawajui kufanya kazi. Kumbe kupata kwenu sio kuwa wafanyakazi wazuri bali ni ujanja wenu(wa kiccm) kuhodhi mali za wote na kuzitumia wachache wenu. Mwatudhurumu mgongoni mwa kisingizio cha CCM. Kagera unao tutukana ndio tu ngome ya tatu ya CCM baada ya mikoa ya pwani. Zamani kiuchumi, kiutamaduni na maendeleo kwa ujumla ktk Tanzania tulikuwa na wenzetu wa Kilimanjaro na Mbeya. Kwa sasa wenzetu ni Singida na Dodoma. Kielimu, Afya, utamaduni (mhaya alikuwa haombi na wengi wakivaa suti na kufunga tai) Angalia sasa anapoonekana mgeni utasikia watusiga otai nyingi. Mhaya alikuwa icon ya ustaarabu wa Mtanzania lakini shuntama ya CCM sasa mhaya wenzie Moshi na Mbeya atawasikia kwenye mabomba. Wenyewe waliisha achana na hii ccm maslahi siku nyingi. Wao kiuchumi, elimu na utamaduni wanaibeba Tanzania na wewe ulivyo na akili unawaonea wivu kuumiliki huo uchumi hata nyumbani kwako. Iko wapi BCU? KCU? Uko wapi ushirika. Mbona haulaani ccm kunyanganya kiwanja cha kcu kujenga ofisi ya CCM pale kona ya kwenda airport hadi leo jengo limebaki gofu? Kagera Ardhi yetu ilitumiwa kama uwanja wa vita vya Uganda, Serikali ya CCM ilitufanyia nini tofauti na Watanzania wengine kutufidia. Ukimwi ulianzia huku, wakimbizi wa Rwanda walikimbilia huku ccm mlituletea mbinu gani za kutukomboa na kudorola kulikosababishwa? Badala yake vyanzo vya mapato yaani kahawa mka iwekea msululu wa kodi ili mpate pesa mshibishe matumbo yenu. Tumevamiwa kwanza na batobato na baadae munyauko, ccm ingekuwa inatujali ingetuchukulia special zone walau tununue bidhaa kwa bei nafuu Kumbe ndio kwanza mfumo wa bei. Bidhaa zinasafirishwa kwa magari yenu wakubwa yanatuongezea bei zaidi ya 40% ya kama kungekuwa kusafirisha kwa meli na reli, nani alete meli au ajenge reli kama magari ni mali za watoto wa wenye ccm? Hapo mhaya hata alale shambani uwezo wa kujenga katikati ya mjini Bukoba ataupata wapi? Kwa nini wasijenge Wachaga? Wasijenge watoto wa Kagasheki? Gachuma? Rostam? Asumtha yule mbunge wa mipasho ya kiccm? Mama Anna Tibaijuka mtaalam wa Escrow? Kingunge . Nk. semeni tu lakini Wahaya wanafanya kazi sana. Angalia mashamba yao yalivyo makubwa na masafi, enda ziwani uone wanavyochakarika. Wacha matusi wewe limbwata wa CCM. Tumestukia na msitulaumu. Tuliwapenda hamkutujali sasa aliye zaliwa na CCM inazaliwa ameanza kuzeeka na mambo yake ni yaleyale ya wakati ule alizaliwa. Tuwabadilishie wajukuu wetu nchi hii wasije kuwa kama sisi. Ccm bye.
 
Yaani ndio anavyoongea porojo porojo kwa dakika zote hizo zoteee kweli viongozi hao ndivyo wanavyotafuta kura

Duh kweli wanaona hii nchi ya wadanganyika
 
Ziara ya KINANA na NAPE mjini Bukoba tulidhani wanakuja kutuelezea namna ya upatikanaji wa meli mpya tuliyoahidiwa kwenye uchaguzi wa mwaka 2010.
Walichokisema nikianza na NAPE, "... mtoto wenu LWAKATARE anafadhiri kikosi cha vijana wanaojifunza ugaidi". Kwa hili si hitaji la wanabukoba.
Katibu mkuu ccm Mh. KINANA alisema"... hatujazuia watangaza nia kupitia ccm kufanya midaharo". Kwa ufupi sikuona hoja yoyote ya kueleza utimilifu au utekelezaji wa ahadi zilizoahidiwa mwaka 2010
 
Ziara ya KINANA na NAPE mjini Bukoba tulidhani wanakuja kutuelezea namna ya upatikanaji wa meli mpya tuliyoahidiwa kwenye uchaguzi wa mwaka 2010.
Walichokisema nikianza na NAPE, "... mtoto wenu LWAKATARE anafadhiri kikosi cha vijana wanaojifunza ugaidi". Kwa hili si hitaji la wanabukoba.
Katibu mkuu ccm Mh. KINANA alisema"... hatujazuia watangaza nia kupitia ccm kufanya midaharo". Kwa ufupi sikuona hoja yoyote ya kueleza utimilifu au utekelezaji wa ahadi zilizoahidiwa mwaka 2010

Kwani ahadi za wabunge wa chadema wametimiza kwa asilimia ngapi? Mmoja aliahidi ambulance zikaja akazinywa juzi kaleta wasanii kwenye majani eti wanataka kujenga zahanati! leo hii ndio anakumbuka?
Haya kule Mbeya mmbunge alisema akipata uongozi atanunua kompyuta kila sekondari,atapiga show ili kusaidia maskini hasa katika elimu,atauza gari la mkuu wa mkoa kwani ni la kifahari, alipopata ubunge kwanza akanunua gari kama lile lile la kifahari! na show hajapiga wala kompyuta hajanunua zaidi ya kupeleka mbili tatu hivi katika shule aliyotoka yeye. So hakuna serikali inakamulisha kila ahadi kwa asilimia mia bali mengine yanakua kwenye hatua za mwisho.
 
Kwani ahadi za wabunge wa chadema wametimiza kwa asilimia ngapi? Mmoja aliahidi ambulance zikaja akazinywa juzi kaleta wasanii kwenye majani eti wanataka kujenga zahanati! leo hii ndio anakumbuka?
Haya kule Mbeya mmbunge alisema akipata uongozi atanunua kompyuta kila sekondari,atapiga show ili kusaidia maskini hasa katika elimu,atauza gari la mkuu wa mkoa kwani ni la kifahari, alipopata ubunge kwanza akanunua gari kama lile lile la kifahari! na show hajapiga wala kompyuta hajanunua zaidi ya kupeleka mbili tatu hivi katika shule aliyotoka yeye. So hakuna serikali inakamulisha kila ahadi kwa asilimia mia bali mengine yanakua kwenye hatua za mwisho.
Huwezi kupanga ziara bila hoja. Huu ni uharibifu wa kodi ya watanzania. Chama tawala kinakosa hata kueleza utekelezaji wa ILANI zake?
 
Back
Top Bottom