Kinana ana siri nzito kifuani ikiwa ni pamoja na idadi halisi ya kura alizopata Magufuli 2015

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Katibu Mkuu ni Mtendaji mkuu wa chama, karibu matukio na mipango yote ya chama iwe mizuri au ya hatari mratibu na mtekelezaji wake mkuu ni Katibu Mkuu, kuna matukio mengine hufanyika bila Mkiti kujua anategemea kupewa mrejesho na Katibu Mkuu.

Kwenye uchaguzi Mkuu uliopita ambao ulilalamikiwa kuwa na rafu nyingi, Kinana alikuwa kama project manager kwenye chumba cha kujumlishia kura, ndiye aliyekuwa anaruhusu kura zipi zipelekwe NEC na zipi zibadilishwe, kwa hiyo anajua kura halisi alizopata Rais Magufuli.

Ni risk kubwa hata Mkiti anajua kuendelea kuwachokonoa Makatibu wakuu wastaafu, kuna siku watalazimika kujibu mapigo kwa kumwaga madudu yote hatarishi yaliyokuwa yakifanyika ndani ya chama, ikiwepo mipango ya kuwaangamiza wapinzani, utekaji na hata mauaji, na hapo ndipo utakapokuwa mwanzo wa kusambaratika kwa chama kama ilivyotokea kwa chama cha KANU.
 
Ccm wala Viongozi wa Ccm hawana Ugomvi na Mzee Kinana

Ni kazi nyepesi kutofautisha rangi ya Maziwa na Tui la Nazi kuliko kumtofautisha Mzee Kinana na Ccm


Kwa Mara ya kwanza Ccm inaingia kwny Uchaguzi huku Straker wake Mzee Kinana akiwa katundika njumu zake ukutani akiwa Mstaafu

1995-2015 Kinana akiwa Program Cordinator wa Ushindi
 
Umerudi tena kujithidi kujitetea

Acha kutafuta njia ya kufikiri utamuogopesha Raisi wetu. Yaani umekaa unakuja na hili.. eeeeh yeye ndio anajua hiyo siri peke yake wengine hawaijui.. ha ha haaaaa

Embu punguza ngonjera na kutafuta huruma.. mumeongea wenyewe.. mtajiju wenyewe mlimo humo.. sisi wasomaji na wasikilizaji.. fahamu tuna akili tomamu na hatuwezi kuruhusu mafisadi mkaanza kufikiri tutawasikiliza.. vutia upinzani uchwara tu wa humu.. wafata upepo.. vyuma vimewakaza kama nyie tu.
 
Huyu Kinana, Magufuli alitaka sana afanye kazi naye ila Mzee Kinana akataka kupumzika.

Acheni kumchonganisha Mzee wa Watu.
Aliyeandika wakara kuwa kuna watu wenye nguvu walionyuma ya Musiba siyo mimi ni Kinana.
 
Umerudi tena kujithidi kujitetea

Acha kutafuta njia ya kufikiri utamuogopesha Raisi wetu. Yaani umekaa unakuja na hili.. eeeeh yeye ndio anajua hiyo siri peke yake wengine hawaijui.. ha ha haaaaa

Embu punguza ngonjera na kutafuta huruma.. mumeongea wenyewe.. mtajiju wenyewe mlimo humo.. sisi wasomaji na wasikilizaji.. fahamu tuna akili tomamu na hatuwezi kuruhusu mafisadi mkaanza kufikiri tutawasikiliza.. vutia upinzani uchwara tu wa humu.. wafata upepo.. vyuma vimewakaza kama nyie tu.
Hang over haijaisha?
 
Katibu Mkuu ni Mtendaji mkuu wa chama, karibu matukio na mipango yote ya chama iwe mizuri au ya hatari mratibu na mtekelezaji wake mkuu ni Katibu Mkuu, kuna matukio mengine hufanyika bila Mkiti kujua anategemea kupewa mrejesho na Katibu Mkuu.

Kwenye uchaguzi Mkuu uliopita ambao ulilalamikiwa kuwa na rafu nyingi, Kinana alikuwa kama project manager kwenye chumba cha kujumlishia kura, ndiye aliyekuwa anaruhusu kura zipi zipelekwe NEC na zipi zibadilishwe, kwa hiyo anajua kura halisi alizopata Rais Magufuli.

Ni risk kubwa hata Mkiti anajua kuendelea kuwachokonoa Makatibu wakuu wastaafu, kuna siku watalazimika kujibu mapigo kwa kumwaga madudu yote hatarishi yaliyokuwa yakifanyika ndani ya chama, ikiwepo mipango ya kuwaangamiza wapinzani, utekaji na hata mauaji, na hapo ndipo utakapokuwa mwanzo wa kusambaratika kwa chama kama ilivyotokea kwa chama cha KANU.
Afe nazo asife nazo ,hatua za kinidhamu ni muhimu sana dhidi yao
 
Katibu Mkuu ni Mtendaji mkuu wa chama, karibu matukio na mipango yote ya chama iwe mizuri au ya hatari mratibu na mtekelezaji wake mkuu ni Katibu Mkuu, kuna matukio mengine hufanyika bila Mkiti kujua anategemea kupewa mrejesho na Katibu Mkuu.

Kwenye uchaguzi Mkuu uliopita ambao ulilalamikiwa kuwa na rafu nyingi, Kinana alikuwa kama project manager kwenye chumba cha kujumlishia kura, ndiye aliyekuwa anaruhusu kura zipi zipelekwe NEC na zipi zibadilishwe, kwa hiyo anajua kura halisi alizopata Rais Magufuli.

Ni risk kubwa hata Mkiti anajua kuendelea kuwachokonoa Makatibu wakuu wastaafu, kuna siku watalazimika kujibu mapigo kwa kumwaga madudu yote hatarishi yaliyokuwa yakifanyika ndani ya chama, ikiwepo mipango ya kuwaangamiza wapinzani, utekaji na hata mauaji, na hapo ndipo utakapokuwa mwanzo wa kusambaratika kwa chama kama ilivyotokea kwa chama cha KANU.
Pia anayo siri nzito kuhusu ufujaji na ujimilikishaji wa mali za ccm,autunze moyoni pia
 
Back
Top Bottom