Kinana ameiva au amechacha?

Sidhani kama Tz nzima inawanasiasa kama Bernard Membe wafikapo 10.....tunahitaji wana siasa kama huyu ili kubadili muelekeo wa nchi.....mtu moja kubadilisha mfumo wa chama na malengo na wote wanamufuata tu wakiwemo maraisi wasitaafu
 
Naunga mkono hoja
Hii michezo yote walengwa ni wapinzani waingizwe "king" na wataingia tu. ccm ni mabingwa kwenye haya mambo.Sa sijui hapa wanaandaa mtego gani? au wanamwandalia njia Membe akagombee upinzani?



amini! amini! nawaambieni mbowe ni ccm aongozaye chadema
 
Huyu usijilinganishe naye amekuwa waziri wa kanali wa jeshi .waziri wa ulinzi.spika wa bunge la Africa mashariki ,katibu mkuu wa chama na manager campaign wa ccm wewe kikatuni usijilinganishe naye
Kikatuni mama yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…