Kama ni mboga, basi Kinana amechacha. Nachukua nafasi hii pia kumpongeza Mh. Bernard Membe kwa tamko lake la jana. Hakika Tanzania tunahitaji Viongozi wa aina yake! ambao siyo Waoga, Wanafiki, Wezi na Wasio jiamini.
"Ni bora kufa ukiwa umesimama kuliko kuishi ukiwa umepiga magoti". Anayestahili kutukuzwa ma kuabudiwa ni Mungu pekee. Mwanadamu ni mavumbi tu.