Caine Chuhira
Member
- Sep 17, 2016
- 27
- 38
_KINAHITAJIKA CHUMBA CHA 50,000/= MAENEO YA TABATA.!!
*Hello Madalali na Members wa Group hili.
Kinahitajika Chumba Cha Tsh 50,000/=
Maeneo ya Tabata , Usafiri uwe Gari moja kuelekea Airport, Chumba kiwe kikubwa Cha kutosha Kitanda Cha 6x6 , Kabati la Nguo, Friji Dogo,Meza Mbili ndogo na Kabati Dogo la chini la vyombo. Kiwe ndani ya Geti kwa Usalama zaidi.
Inbox
*Hello Madalali na Members wa Group hili.
Kinahitajika Chumba Cha Tsh 50,000/=
Maeneo ya Tabata , Usafiri uwe Gari moja kuelekea Airport, Chumba kiwe kikubwa Cha kutosha Kitanda Cha 6x6 , Kabati la Nguo, Friji Dogo,Meza Mbili ndogo na Kabati Dogo la chini la vyombo. Kiwe ndani ya Geti kwa Usalama zaidi.
Inbox