Jamani hata mimi
nahitaji mwanamke wa kuoa niliyokuwa naye alikuwa matumizi ya hapa na
pale kama burudani.
Nipo serious na hii ishu ya kuoa maana nimechoka kuibaiba visivyo
halali.
SIFA ZA MWANAMKE:1.Awe mkaaji wa kanda ya kaskazini, Ar,Kl na MRN
2.Awe mwalimu mwenye cerfificate au dip
3.Awe mkristo wa dini yoyote
4.awe na mvuto na umri usizidi miaka 27
NB: Hata kama hujaariwa ili mradi una hiyo profesional ya ualimu
unakubalika sana .
Atakayeridhika na maombi yangu an PM tutawasiliana kwa mipango na
maandilizi mengine.