Christine_1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,307
- 42,235
Kwani hata wakiamshwa wanasikiaga haoo..??? Tushawarusha magetini sana tu, na kila akirudi anachezea kichapo kwa eidha baba, mama, au yeyote anayeishi naye, lakini kesho huyooo tena... kama umeme uliokatika unaporudi, hakuna kuzowea... huoooooo....
WANASEMA MWALIMUWAO KIPOFU NA KESHAKUFA. HIVYO DARASA LIMEBAKI BILA TICHA....
Usione akina lara 1 na mastori yao ya IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE, AU akina Heaven on earth na kupenda wazungu, WOTE WAPO HIVYO HIVYO TU
Lara 1,Heaven on earth kjluja pande hii, teh teh