MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 4,842
- 15,149
Tatizo linakuja pale ambapo suala hili linatumika kwa mantiki nyingine kabisa, haliibuliwi kwaajili ya kulitatua bali linaibuliwa kwaajili ya wananchi kujenga imani kwa Mh. Na kumfanya aonekane ni mzalendo ( KIKI ), kama kweli mkuu ana nia na hayo makinikia hatua za kuchukua si zipo wazi na mapendekezo ya tume si yapo na wahusika pia si wapo?, kinachoshangaza ni mkuu kurukaruka na suala hili plus kutafuta media attention, kazi ifanyike mapendekezo yapo sio kila siku kulialia ohh tumeibiwa ohhh ACACIA wamesema hawalipi etcMkuu wengi kwenye hii thread,wanahisi hizo trillion 400 ni za makinikia pekee,hizi zinahusisha Kodi ya matofali ya dhahabu yaliyokuwa yanapaishwa toka airport zao moja kwa moja bila kukaguliwa,ilichofanya serikali ni kuweka TISS migodini bila wao kujua na kupata data na ushahidi wa kinachoendelea na kilichokuwa kikiendelea migodini,na ushahidi upo.Tatizo jingine ni pale vijana wengi humu mnapo under estimate uwezo wa TRA,TISS na serikali kwa ujumla,Sasa hivi watu wapo makini kuliko mnavyodhani humu JF,kingine ni hizi kampuni zinazochimba dhahabu ukiangalia members WA bodi zao utagundua ni watu wanaoshirikiana,na mpango wao duniani ni Ule ule(unyonyaji),hawataki ujue ni tajiri kiasi gani?,hawataki ujue una Mali ya thamani kiasi gani,hizo data zao kwenye soko la hisa,na thamani ya kampuni zao wanazo decrare kwenye mtandao zote ni zuga,ni sawa kuandikisha BRELLA kampuni yako na asset zote ina thamani ya milioni 300 wakati huo unaingiza milioni 20 kwa siku(milioni 600 kwa mwezi),mfano wa pili,. Vodacom wamejifanya wanauza hisa mpaka wakatangaza wateja hawaji wakionyesha huruma,jiulize swali..,hivi kampuni inayoingiza zaidi ya bilioni 2 kwa siku inahaja ya kutafuta kwa bidii watu wa kununua hisa??,mfano wa tatu na wa mwisho Paris na miji mingine ya ufaransa na ubelgiji zimejengwa na madini ya D.R.C(Zaire),mpaka wakaondolewa Viza kwenda huko,Kagame na Museveni nao wakazama huko kuzoa mpaka Leo wapo(ndo panapompa Kagame jeuri ya pesa),wakongo walipogundua ndo Vita huko mpaka kiama,na madini bado yapo.Mkuu tumeibiwa sana.Ukijua ndege zilikuwa zinapakiza tani ngapi per day na ku take off straight,unaweza kutoa machozi.