PreGE2025 Kinachosubiriwa ni CHADEMA wamtangaze mgombea urais

PreGE2025 Kinachosubiriwa ni CHADEMA wamtangaze mgombea urais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,729
Reaction score
5,637
CHADEMA wakimtangaza mgombea urais,nchi itakuwa tayari kwa Uchaguzi.

Lakini badala ya kumtangaza mgombea urais CHADEMA wanafanya utalii mikoani. Halafu Chadema hawana upendo na Umoja katika Chama chao.

Hatujaona mass exodus kutoka kwenye Chama kama iliyokuwepo Freeman alipokuwa Mwenyekiti,hata hivyo wangeweza kushirikiana zaidi.

Wakatishia watahama Chama Freeman asipoondoka,sasa mbona hawapatani?

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

No reform,no election! Ya nini.

Lissu yuko on course kuwarudisha Chadema Bungeni baada ya wao kuwa in the wilderness for five years.

Mbowe aliondola aliposhindwa kuwa Mwenyekiti. Watu walikuwa wanatishia kuhama Chadema,na Chadema ingekufa Familia yake Mbowe isingekubali.

Tushirikiane,tufanye Uchaguzi,tufanye Tanzania iwe nchi ya maziwa na asali where everyone will till his field and no one shall make him afraid.
 
hivi kwani kuna uchaguzi au uchafuzi? refer uchafuzi wa serikali za mitaa 2024
 
Lissu agombee kama Tume itafanyiwa REFORMS Taifa linamtaka.
 
CHADEMA wakimtangaza mgombea urais,nchi itakuwa tayari kwa Uchaguzi.

Lakini badala ya kumtangaza mgombea urais CHADEMA wanafanya utalii mikoani. Halafu Chadema hawana upendo na Umoja katika Chama chao.

Hatujaona mass exodus kutoka kwenye Chama kama iliyokuwepo Freeman alipokuwa Mwenyekiti,hata hivyo wangeweza kushirikiana zaidi.

Wakatishia watahama Chama Freeman asipoondoka,sasa mbona hawapatani?

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

No reform,no election! Ya nini.

Lissu yuko on course kuwarudisha Chadema Bungeni baada ya wao kuwa in the wilderness for five years.

Mbowe aliondola aliposhindwa kuwa Mwenyekiti. Watu walikuwa wanatishia kuhama Chadema,na Chadema ingekufa Familia yake Mbowe isingekubali.

Tushirikiane,tufanye Uchaguzi,tufanye Tanzania iwe nchi ya maziwa na asali where everyone will till his field and no one shall make him afraid.
mgombea urais kupitia chadeama ni Romanus Mapunda gentleman, ambae wanachadema wanaweza kumpitisha bila kupingwa :pulpTRAVOLTA:
 
Back
Top Bottom