Kinachoendelea Moshi, Hakuna Hali Ngumu

Niliwakubali akina mama wa ki Machame, jamani nadamka saa 10 alfajiri kuwahi mabasi ya kuja huku kwetu nakutana na akina mama wamebebelea maziwa wanapeleka mjini! Hongereni akinamama wa Uchaggani!
 
Na nyumba kipindi hiki mnachosema kigumu cha Magufuli ndio zimejengwa haswa na ukarabati wa kufa mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…