mary moses
Member
- May 3, 2015
- 21
- 1
Kwanini mwana sheria wa nec kaingia mitini na alikuwa ahudhurie kipindi!???au amekwepa aibu maana angeumbuka
Sasa wanaendesha kipindi cha malumbano ya hoja, ninachoona sio malumbano, bali ufafanuzi wa uchaguzi wa Zanzibar kuahirishwa na uhalali wake kikatiba na kisheria.
Nimejiuliza kwanini hakuna mtu mwingine wa kufafanua tofauti na muongeaji ambaye anamtazamo moja tuuu.
ITV hapo naona kama mna hasira, amsaidi jamii mnaumiza jamii zaidi, Amani ni muhimu zaidi acheni wazanzibar waamue hatima yao.
Usiku mwema.
Wakati ambao Sam Mahela wa ITV alikuwa anarusha live mabomu yaliyokuwa yanapigwa kwenye vituo vya kupigia kura, TBC1 na Star TV walikuwa wanaonyesha katuni.Pale hoja inavyojibiwa na team mahaba.
Sasa wanaendesha kipindi cha malumbano ya hoja, ninachoona sio malumbano, bali ufafanuzi wa uchaguzi wa Zanzibar kuahirishwa na uhalali wake kikatiba na kisheria.
Nimejiuliza kwanini hakuna mtu mwingine wa kufafanua tofauti na muongeaji ambaye anamtazamo moja tuuu.
ITV hapo naona kama mna hasira, amsaidi jamii mnaumiza jamii zaidi, Amani ni muhimu zaidi acheni wazanzibar waamue hatima yao.
Usiku mwema.
Sasa wanaendesha kipindi cha malumbano ya hoja, ninachoona sio malumbano, bali ufafanuzi wa uchaguzi wa Zanzibar kuahirishwa na uhalali wake kikatiba na kisheria.
Nimejiuliza kwanini hakuna mtu mwingine wa kufafanua tofauti na muongeaji ambaye anamtazamo moja tuuu.
ITV hapo naona kama mna hasira, amsaidi jamii mnaumiza jamii zaidi, Amani ni muhimu zaidi acheni wazanzibar waamue hatima yao.
Usiku mwema.
Kosa ni aliyefuta matokeo wakati hana mamlaka ya kufanya hivyo...na pia kosa ni la mwakilishi kutoka NEC, somebody Kawishe, alikuwa anapenda sana kuja ITV kuongea na Sam Mahela kabla ya uchaguzi ila leo naona 'kaingia mitini' dakika za majeruhi. Nahisi atakuwa amekatazwa na wakubwa maana angebanwa pale na kulazimika kutamka kuwa ufutwaji wa uchaguzi Zanzibar ni batili.Kosa ni la itv au la aliyefuta matokeo
Sasa wanaendesha kipindi cha malumbano ya hoja, ninachoona sio malumbano, bali ufafanuzi wa uchaguzi wa Zanzibar kuahirishwa na uhalali wake kikatiba na kisheria.
Nimejiuliza kwanini hakuna mtu mwingine wa kufafanua tofauti na muongeaji ambaye anamtazamo moja tuuu.
ITV hapo naona kama mna hasira, amsaidi jamii mnaumiza jamii zaidi, Amani ni muhimu zaidi acheni wazanzibar waamue hatima yao.
Usiku mwema.
Mengi ni mmoja wa watakaopelekwa The Heague endapo Zanzibar itachafuka, pamoja na yule Spencer Lameck.
Tatizo watu waliozoea dhuluma, ukiongea ukweli unawa-accuse, hivyo wanadai unachochea, na wakiwa na mamlaka lazima watakukamata tu na kukusingizia chochote. Mwizi hapendi umwambie ni mwizi, mbona mwalimu anaambiwa ni mwalimu na anafurahia?ni kweli ndugu unajua jf siku hizi imeingiliwa na mapimbi kama mleta mada watu wanatoa ufafanuzi hili paka linasema uchochezi elimu elimu elimu