Picha za kinachoendelea.... muonekano wa picha mtanisamehe.
kambitza JF-Expert Member Jul 24, 2013 1,942 2,000 Dec 22, 2013 #1 Picha za kinachoendelea.... muonekano wa picha mtanisamehe. Attachments File size 84.9 KB Views 584 File size 89 KB Views 671 File size 82.9 KB Views 512 File size 82.9 KB Views 534
kambitza JF-Expert Member Jul 24, 2013 1,942 2,000 Dec 22, 2013 #3 Vijana wanapiga kelele Rais!. Rais!. Rais!!.
kambitza JF-Expert Member Jul 24, 2013 1,942 2,000 Dec 22, 2013 #4 Anawajibu msinigombanishe na watu jamani.
Ben Mugashe Verified Member ✅ Oct 9, 2008 998 1,000 Dec 22, 2013 #5 2015 iko karibu sana ongeza bidii mh EL
Lambardi JF-Expert Member Feb 7, 2008 10,894 2,000 Dec 22, 2013 #6 Picha hazijaomesha wingi tulioutegemea!!
bendaki JF-Expert Member Feb 5, 2013 954 250 Dec 22, 2013 #7 Katika kufikiria ndio kuwa hapo EL anatafuta muarobaini wa ukosefu wa ajira. Aanze kuurudisha mfumo wa viwanda ambao na Yeye ni sehemu ya kuuhujumu.
Katika kufikiria ndio kuwa hapo EL anatafuta muarobaini wa ukosefu wa ajira. Aanze kuurudisha mfumo wa viwanda ambao na Yeye ni sehemu ya kuuhujumu.
Jumong S JF-Expert Member Jul 3, 2013 6,167 2,000 Dec 22, 2013 #8 Jamani jamani, wekeni picha zaidi tujionee hii kitu! Vp muitikio wa watu? Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Jamani jamani, wekeni picha zaidi tujionee hii kitu! Vp muitikio wa watu? Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
mwekundu JF-Expert Member Mar 4, 2013 21,850 2,000 Dec 22, 2013 #9 Jamaa EL anafanya sehemu ya kampeni hapo
N ndomyana JF-Expert Member Jan 24, 2012 4,908 2,000 Dec 22, 2013 #12 Duuu mbona pikipiki za kijiwe kimoja, ajisimbue na bodaboda make wote wapo chadema
C chilonganir Member Jun 21, 2013 56 70 Dec 22, 2013 #13 tatizo watu mnaugomvi na lowasa na chuki binafsi hivyo hata kazi zake hamuoni ujinga,mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
tatizo watu mnaugomvi na lowasa na chuki binafsi hivyo hata kazi zake hamuoni ujinga,mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
The Fixer JF-Expert Member Mar 3, 2008 1,365 2,000 Dec 22, 2013 #14 Lengo la hiyo bodaboda day na Lowassa ni nini?
mamseri JF-Expert Member Oct 5, 2012 703 500 Dec 22, 2013 #15 hapo ategemee maumivu hela inaliwa na kura hapati chezea CHDEMA wewe. Hapa Arusha tushazipiga za kutosha hongereni bodaboda dar msikatae pesa ila kura yako ndo siri yako
hapo ategemee maumivu hela inaliwa na kura hapati chezea CHDEMA wewe. Hapa Arusha tushazipiga za kutosha hongereni bodaboda dar msikatae pesa ila kura yako ndo siri yako
umatemate JF-Expert Member Jul 19, 2013 757 195 Dec 22, 2013 #17 The Fixer said: Lengo la hiyo bodaboda day na Lowassa ni nini? Click to expand... hapo anamchinja kobe mkuu
The Fixer said: Lengo la hiyo bodaboda day na Lowassa ni nini? Click to expand... hapo anamchinja kobe mkuu
K kipimo JF-Expert Member Dec 30, 2010 828 0 Dec 22, 2013 #18 kwa wimbo wa rais, rais, ndo hapo nimesikitika kama kweli vijana hawa wanajitambua au basi watanzania tutakuwa wasahaulifu kiasi hicho!!
kwa wimbo wa rais, rais, ndo hapo nimesikitika kama kweli vijana hawa wanajitambua au basi watanzania tutakuwa wasahaulifu kiasi hicho!!