umesikia wapi hivi ukikaa na kutulia ukaleta habari kamili utapungukiwa na nini?
SAKATA LA ESCROW: Vigogo watatu Benki Kuu, Tanesco na TRA kortini Kisutu Dar leo. Watuhumiwa kwa ufisadi wa akaunti ya Tegeta Escrow, taarifa zaidi kukujia.
SAKATA LA ESCROW: Vigogo watatu Benki Kuu, Tanesco na TRA kortini Kisutu Dar leo. Watuhumiwa kwa ufisadi wa akaunti ya Tegeta Escrow, taarifa zaidi kukujia.
Duu hao wamelala segerea....si ijuma leo?
SAKATA LA ESCROW: Vigogo watatu Benki Kuu, Tanesco na TRA kortini Kisutu Dar leo. Watuhumiwa kwa ufisadi wa akaunti ya Tegeta Escrow, taarifa zaidi kukujia.
Inawezekana alikuwa anataka kuwahi mwanzo kabla wengine hawajaileta jamvini.
weeeee nani kasema hawa wanaenda mahakamani full document yaani wadhamini walitangulia mahakamani toka jana