Kawaulize Tunisia ndio wanajua kama wanafunzi ni wa kupuuzwa kwa kigezo cha uanafunzi au la kwa taarifa yako wanafunzi ni jeshi la pili la nchi yoyote baada ya majeshi rasmi ya nchi na ni jeshi lenye nguvu zaidi ya majeshi ya dola. Sasa kwa mtu mwenye akili hawezi kizipa kisogo habari zinazohusu wanafunzi kwa sababu tu ni wanafunzi