Henry Robert
Senior Member
- Oct 28, 2013
- 104
- 39
Wengne hata hao kina wema hawawajui!kmbelembele tu!mambo ya team hayo ivi hao team wanalipwaga monthly salary au wanapewa vocha na wahusika au ni kazi ya kujitolea?
Wengne hata hao kina wema hawawajui!kmbelembele tu!mambo ya team hayo ivi hao team wanalipwaga monthly salary au wanapewa vocha na wahusika au ni kazi ya kujitolea?
Msg sent!Ahahahah wema njoo kwangu achana na maneno maneno mbona hata mi nakupendaga
Mmmmmmh!Yaan zari hajiamini na siku akimwagwaaaa ataiona insta chungu mbwa huyo,,ndio maana anazunguka kama tiara ,mashavu yashachuma kunde bado Tu kujifanya mtoto na weupe wake WA dekio mxcieewww
Hahahahaha!et batiki!jamanZari lazma kuchokozwa, afu bora weupe wake unaeleweka sio wa sweet heart ngozi kama batiki mxyuuuu
Hizo picha za kitambo teh walete mpya Bosslady kishasema sex tape hata Kim Kardashian anayo lolDougiemaster20 kaweka video ya zari na Dildo.
Aaaaahaaaaa mwenyewe anasema ata Kim anayo..sasa tofauti yao mwenzie imempa u bilionea yeye imempa kashfaDougiemaster20 kaweka video ya zari na Dildo.
Aaaaahaaaaa mwenyewe anasema ata Kim anayo..sasa tofauti yao mwenzie imempa u bilionea yeye imempa kashfa
Hizo picha za kitambo teh walete mpya Bosslady kishasema sex tape hata Kim Kardashian anayo lol
Dogo alistuka demu analetewa Zawad ya BMW kwenye birthday eti imetoka kwa Kadinda ha ha ha yaan huyu superstar wao maisha yake ni kitabu sijui hii team yake kwa nini wasijiite vicheche FC
Hahahahaha!et batiki!jaman
....haya mafuriko ndo yamenleta huku?Hahahaaa comments sasa mi hoi..hua napata picha za wapondaji sijui komwe,michirizi mara masikio hua nawaza sijui hua ni malaika yaaani ni wazuuuuuriiiii na hawana kasoro nawaza tu kimya kimya....#hujafa hujaumbika ndugu# aliyeumba hakosei yamkini hata ukipewa udongo uunde mwana seserewa udongo huwezi......
Jiwe gizani atakae sema yalaaah!!limempata
Tulia wewe,kama zari ni mzuri atabaki kuwa mzuri tu hata mfanyeje,akimwagwa asubuhi mchana keshapata mwingine.huezi fananisha wema kimburukengeYaan zari hajiamini na siku akimwagwaaaa ataiona insta chungu mbwa huyo,,ndio maana anazunguka kama tiara ,mashavu yashachuma kunde bado Tu kujifanya mtoto na weupe wake WA dekio mxcieewww
Ndugu ulidhani kuna waharifu uwajibike?nimekosea njia aisee