Kimenuka Insta Hamisa mobeto Vs Zamaradi Mketema

By @hamisamobetto . . - First Of All Me sio Mtu wa Kujibishana Na watu insta Ndo maana always nakaaga Kimya . ...... Tangia Nimefungua @mobettostyles Kila siku imekua Jipya . Secondly sijawahi Sema Popote kuhusu mshono Wa Shughuli yako wala kuandika kwa My page so probably one of your friends kayapeleka sehemu . My dear ulivyokua hujanialika kwenye shughuli yako nilibezwa kuchekwa kutukanwa and all siku jibu wala ongea popote kwasababu kila mtu ana uhuru wa kuchagua watu atakao . . Ulinitafta Tumechagua Mishono umeenda shona kwengine sijawah lalamika my dear wala kusikitika Coz ridhki mafungu saba na kila likuepukalo najuaga huwa lina kheri na Mtu . . Hivyo basi kama mtu mzima ungeskia kitu ungenifata na kunambia lakin no umeamua kunichafua just because uweze lala vizuri usiku . #MniacheJamani #MaanaNadhanSikuMkinitoaRoho #MtafurahiaSana

huyu Mrs Victim na afe tuone... masogange na ngongingo yake kishasahaulika sembuse yeye mwizi wa mabwana za watu
 
Ndio maana my wife to be anatokea Pemba hawa Wa Darasa la Saba/big headed nawaachia wanaume madomo zege.


Wanawake Wa Tanzania wanaojielewa ni either wameshakufa Kama vile Mke Wa Marehemu Kingunge au wameshazeeka kama Mama maria nyerere, Tunu pinda, Anna mkapa, Fatuma karume na mama zetu.


Wengine wote waliosalia ni Pasua kichwa. Hawafai kwa kuoa bali wanafaa kwa matumizi halali ya Instagram na show za kibabe za usiku na kuacha. Huwa najiuliza mwanaume unaanzaje kuoa mwanamke kama Hamisa.


Ngoja nijiandae zangu kuoga maji yaliyotiwa hiriki na mdalasini na mwanamke wangu Wa kipemba. Nyie endeleeni na wanawake wenye bachelor degree of Instagram
Mvulana wa miaka 28, hivi utaona umefanyiwa nini zaidi ya kuona maji ya hiki na mdalasini ndio mapenzi?

Eti wa degree unawaachia madomo zege.....pathetic!!! Hii inaonyesha jinsi usivyo jiamini.

Mwanaume wa kweli huoa mke ampendaye na kisha hujitahd kumake the best wife out of her. Na sio kudhania wa darasa la saba ndio the best and wa degree ndio poorest
 
Mvulana wa miaka 28, hivi utaona umefanyiwa nini zaidi ya kuona maji ya hiki na mdalasini ndio mapenzi?

Eti wa degree unawaachia madomo zege.....pathetic!!! Hii inaonyesha jinsi usivyo jiamini.

Mwanaume wa kweli huoa mke ampendaye na kisha hujitahd kumake the best wife out of her. Na sio kudhania wa darasa la saba ndio the best and wa degree ndio poorest
Wanawake wa pemba wanavyopenda kuzaa na kuwekwa ndani kama makochi!
 
Mvulana wa miaka 28, hivi utaona umefanyiwa nini zaidi ya kuona maji ya hiki na mdalasini ndio mapenzi?

Eti wa degree unawaachia madomo zege.....pathetic!!! Hii inaonyesha jinsi usivyo jiamini.

Mwanaume wa kweli huoa mke ampendaye na kisha hujitahd kumake the best wife out of her. Na sio kudhania wa darasa la saba ndio the best and wa degree ndio poorest[/QUOT
Shangaa sasa
 
Back
Top Bottom