Clueless14
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,104
- 4,738
By @hamisamobetto . . - First Of All Me sio Mtu wa Kujibishana Na watu insta Ndo maana always nakaaga Kimya . ...... Tangia Nimefungua @mobettostyles Kila siku imekua Jipya . Secondly sijawahi Sema Popote kuhusu mshono Wa Shughuli yako wala kuandika kwa My page so probably one of your friends kayapeleka sehemu . My dear ulivyokua hujanialika kwenye shughuli yako nilibezwa kuchekwa kutukanwa and all siku jibu wala ongea popote kwasababu kila mtu ana uhuru wa kuchagua watu atakao . . Ulinitafta Tumechagua Mishono umeenda shona kwengine sijawah lalamika my dear wala kusikitika Coz ridhki mafungu saba na kila likuepukalo najuaga huwa lina kheri na Mtu . . Hivyo basi kama mtu mzima ungeskia kitu ungenifata na kunambia lakin no umeamua kunichafua just because uweze lala vizuri usiku . #MniacheJamani #MaanaNadhanSikuMkinitoaRoho #MtafurahiaSana
huyu Mrs Victim na afe tuone... masogange na ngongingo yake kishasahaulika sembuse yeye mwizi wa mabwana za watu