Kimei, funga tawi la CRDB Shamo Mbezi Beach

Kimei, funga tawi la CRDB Shamo Mbezi Beach

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,891
Wafanyakazi wanaringa awataki kujua majukumu yao, manager anashinda na FB na whatsupp muda wote.

Mfano tu, Pale chini wamejaa mpaka mlangoni yuko mhudumu mmoja tu, kwenda juu folen inakunja kona ya mlango counter mbili. Yuko mmoja manager anasema anatafutwa backup wa nini si mngeweka mabox kwenye hizi counter kama azitumiki.

Hawa backup wa nini kila siku mnaombwa mnashindwa angalia wingi wa watu mnahisi tumekuja kubet mpira ama?
 
niwaambieni ukweli..CRDB kama humjui mtu mule ndani utakeshaaaaa...sasa mkifika smile kdgo kwa customer care, mzoeane, next time atakusaidia fasta...lakini hii kiukweli ni system ya kila sehemu...hata kama hela ni yako..you just have to flow with the water, hawabadiliki hao, kamwe!
 
Kimei atakusikia kweli maana naye kwa siasa za kimbali mbali huwa yumo, ukute mwaka hata wateja wake hawajapata interest kwenye akaunti zao ili afanye mambo fulani hivi
 
hata tawi la mbezi mwisho kuna mdada yuko Maulizo ana Majibu ya nyodo sana.
Kilichonishangaza wana utaratibu tofauti na matawi mengine. Wao hutoza salio la tsh:500 kwa mteja anaengalia salio ikiwa kadi imepita muda
 
Wafanyakazi wanaringa awataki kujua majukumu yao..manager anashinda na fb na whatsupp muda wote ...mfano tu

Pale chini wamejaa mpaka mlangoni yuko mhudumu mmoja tu..kwenda juu folen inakunja kona ya mlango counter mbili. Yuko mmoja manager anasema anatafutwa backup wa nn si mngeweka mabox kwenye hizi counter kama azitumiki ..

Hawa backup wa nn kila siku mnaombwa mnashindwa angalia wingi wa watu mnahisi tumekuja kubet mpira ama???

Boss kwani ni lazima uweke hela CRDB? Mbona kuna mabenki kibao hayana foleni? Au kuna demu unamfukuzia huko ndani CRDB? Ukikuta foleni au ukikatwa bila kupewa huduma hamia kwingine kama Lowasa alivyokatwa akakosa huduma ya kugombea urais akahamia kwingine. Just a simple thing. Huna haja ya kutujazia srever humu. Tuna mambo mengi yakiwemo ya kumkata tena Lowasa.
 
Yaani umemind hadi umekuwa na mwandiko mzuri
 
Crdb wasumbufu sana hawa, mie kubadiri kadi tu nazungushwa huu naenda kumaliza mwaka wa pili, kila nikienda kiswahili, mara lete tena picha, mara njoo week ijayo.......nataka nikatoe mpunga wangu niachane nao nadhani hii benki inawenyewe
 
Wafanyakazi wanaringa awataki kujua majukumu yao, manager anashinda na FB na whatsupp muda wote.

Mfano tu, Pale chini wamejaa mpaka mlangoni yuko mhudumu mmoja tu, kwenda juu folen inakunja kona ya mlango counter mbili. Yuko mmoja manager anasema anatafutwa backup wa nini si mngeweka mabox kwenye hizi counter kama azitumiki.

Hawa backup wa nini kila siku mnaombwa mnashindwa angalia wingi wa watu mnahisi tumekuja kubet mpira ama?
iliwahi sana kuteseka nikiwa Dodoma na hii bank kidogo nikose dili kisa likuwa fleni na wahudumu wachache ikawa nikitaka kufanya muamala nanda udom maana hakuna foleni nikaja nikaa chini nikajiuliza kwa nini naata shida zote hizi na lini zitaisha nikaoa niafute bank nyngingine nikajiunga na DTB mbayo haina foleni.Niliumia na kuhama ila ili mamboyaende inabidiuwe na plan B.
 
Wazush sana pale shamo mbez nilishawah kulipa ada ya mdogo wangu thn nikapoteza slip kurudi kuomba wanipe nyingne mdada mmoja mrembo akaniambia nilipe 70 nilishangaa sana wakat wengne hua wanalipishwa 20 na sometimes hata bure.
 
crdb nimeisusa account yangu tangu mkataba na loan board uishe miaka michache iliyopita.

hama banki pdidy sio mama yako hiyo
 
Back
Top Bottom