Ambaye hajamuelewa mleta mada atakuwa ndio ametoka kilabuni kupiga kangara na wanzuki. Huwezi ukajiita mwana cdm halafu usifatilie siasa za ndani, ninyi ndio mnasababisha tuitwe wap.umbavu na malofa also known as nyumbu nyammmbaaff.
Janani tuwe tunashughulisha ubongo kidogo, unakuwa mbumbumbu tu kwa kila jambo. Hivi ni halmashauri ngapi na manispaa ngapi Chadema wataziongoza mpaka mwenyekiti aingilie halmashauri ndogo kama tarime. Halafu katika kuongoza tarime mbowe ananufaika na nini? Mgombaniane wenyewe madaraka halafu mje kumuingiza mbowe. Wenzenu wanafikiria ni nini watawafanyia kipya kwenye halmashauri nyie mnawaza kugawana vyeo. Chadema hatugawani vyeo tunagawana majukumu ndugu.
nitaeleweka sasa,,nikweli watu wa tarime wanauwezo wa kujisimamia.kulikuwa na tofauti kubwa sana kati ya chadema makao makuu na kamati tendaji ya tarime. pamoja na vitisho lamakao makuu uongozi wa tarime umejisimamia kisheria na umeshinda. sasa kwakuwa order ilikuwa kwamba CHADEMA BILA TARIME INAWEZEKANA,, sisi tarime tumejisimamia tunachosubiri nikufutiwa uanachama kama ilivyotamkwa na ngazi ya juu.
Mtoa mada fafanua story yako nini kimetokea tarime, kama ni issue ya mwenyekiti wa halmashauri ya mji na wilaya nani kashinda, mbowe aliingiaje kwenye sakata lenu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.